Wednesday , 8 May 2024
Home Kitengo Michezo Nandy aanika vituko vinavyotokana na ujauzito wake
Michezo

Nandy aanika vituko vinavyotokana na ujauzito wake

Spread the love

 

MSANII maarufu nchini Tanzania Nandy ameelezea kwa uwazi vituko anavyofanya kutokana na hali yake ya ujauzito. Anaripoti Juliana Assenga, UDSM … (endelea).

Nandy amefunguka na kusema toka apate ujauzito amekuwa hawapendi marafiki wa mume wake, na kupelekea kutoelewana nao, pia anasema nyakati zingine amekuwa hata akipokea simu zake na kuongea nao.

Msanii huyu pia anadai kuwa amekuwa akikwazika na kulia sana kiasi cha hata kumpelekea kutokula kwa siku mbili. Anasema amekuwa hivo hasa pale anaposemwa kidogo na mtu anaposhindwa kujirudi na kumuomba msamaha.

Nandy ambaye alikuwa akihojiwa katika kituo cha televisheni cha Wasafi amesema toka awe mjamzito amekuwa akipendelea kula chips maarufu kama Chips za Dubai mida ya saa 9 usiku.

Anasema kuwa hupendelea kula chips hizo kila ahisipo njaa na kuwa anaweza kuzila mara nyingi kwa siku hata akiwa amekwisha kula chakula cha jioni.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoMichezo

Kengold wakabidhiwa kombe NBC Championship

Spread the loveMdhamini mkuu wa Ligi Daraja la Kwanza (NBC Championship) Benki...

Michezo

Piga pesa na mechi za UEFA

Spread the love  HATIMAYE leo hii ndio kitaeleweka nani aende Nusu Fainali...

Michezo

Idris Sultan anogesha msimu wa 3 wa Bridgerton

Spread the loveSTAA wa burudani kutoka ardhi ya Tanzania, Idris Sultan amenogesha...

Michezo

Ligi mbalimbali za pesa kuendelea leo

Spread the love JUMAPILI ya leo imekaa kipesa tuu yani baada ya...

error: Content is protected !!