Tuesday , 7 May 2024
Home Habari Mchanganyiko Kigogo Z’bar ataka mchakato Katiba mpya uendelee ulipoishia
Habari MchanganyikoTangulizi

Kigogo Z’bar ataka mchakato Katiba mpya uendelee ulipoishia

Katibu Mkuu Kiongozi mstaafu wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Dk Abdulhamid Yahya Mzee
Spread the love

NI Katiba mpya, Tume Huru ya Uchaguzi tu. Hivyo ndivyo unaweza kusema kutokana na walivyosema watoa maoni wengi waliofika mbele ya Kikosi Kazi cha Rais Samia Suluhu Hassan cha kuratibu maoni ya wadau wa demokrasia ya vyama vya siasa. Anaripoti Selemani Msuya … (endelea)

Katika Kikosi hicho, viongozi waandamizi wa kisiasa na kiutendaji, wamepita na kushauri mchakato wa Katiba mpya na Tume Huru ya Uchaguzi, ufanyike mapema kabla ya uchaguzi wa mwaka 2025.

Baadhi ya waliotoa maoni kuhusu Katiba na Tume Huru ni Waziri Mkuu mstaafu Frederick Sumaye, Mwenyekiti mstaafu Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Damian Lubuva, Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Profesa Mussa Assad, asasi za kiraia na wadau wengine.

Mahitaji ya Katiba mpya na Tume Huru ya Uchaguzi, yameendele’a kutawala na kupata msisitizo mkubwa, ambapo jana, Katibu Mkuu Kiongozi mstaafu wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Dk Abdulhamid Yahya Mzee alitaka mchakato wa Katiba Mpya uendelee ulipoishia. Kusoma habari hii kwa kina jipatie gazeti lako la RAIA MWEMA leo.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Mafunzo kwa bodaboda 395 yamkuna Meya Dodoma

Spread the loveNAIBU Meya wa Jiji la Dodoma, Asma Karama amepongeza mafunzo...

Habari Mchanganyiko

Samia aagiza huduma za dharura maeneo yaliyoathiriwa na kimbunga Hidaya

Spread the love   RAIS wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania, Samia...

Habari Mchanganyiko

Mahakama yatoa uamuzi zuio dhidi ya Club House

Spread the loveMAHAKAMA Kuu ya Tanzania, Masjala Kuu jijini Dar es Salaam,...

Habari Mchanganyiko

GGML, OSHA yawanoa bodaboda 200 Arusha

Spread the loveZAIDI ya madereva bodaboda 200 wa jiji la Arusha wamepatiwa...

error: Content is protected !!