Sunday , 28 April 2024
Home Kitengo Habari Kimataifa WHO yatangaza kumalizika Ebola DRC
Kimataifa

WHO yatangaza kumalizika Ebola DRC

Spread the love

 

SHIRIKA la Afya Ulimwenguni (WHO) limesema mlipuko wa hivi punde wa Ebola umedhibitiwa ndani ya miezi mitatu kutokana na “mwitikio wa haraka” na “madhubuti” katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Anaripoti Mwandishi Wetu kwa msaada wa mashirika ya kimataifa … (endelea).

Kwa mujibu wa Shirika la Utangazaji la BBC watu wanne wamefariki tangu mlipuko huo wa 14 nchini humo tangu 1976 kutangazwa mwezi Aprili katika mji wa magharibi wa Mbandaka.

Watatu kati ya waliokufa walichukuliwa kuwa “kesi zilizothibitishwa” na mmoja alichukuliwa kuwa kesi shirika la afya ulimwenguni lilisema.

Shirika la Umoja wa Mataifa lilifanya kazi pamoja na serikali kusambaza chanjo, upimaji, ufuatiliaji,kuzuia na kudhibiti maambukizi, pamoja na ushirikishwaji wa jamii.

“Matokeo haya yanaonyesha kuimarisha utayari, ufuatiliaji wa magonjwa na ugunduzi wa haraka, kupiga hatua mbele,” Mkurugenzi wa WHO Kanda ya Afrika Dk Matshidiso Moeti alisema katika taarifa yake Jumatatu.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaKimataifaTangulizi

Tanzania, Somalia kuibua maeneo mapya ya ushirikiano

Spread the love  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema Tanzania na Somalia...

KimataifaTangulizi

Mkuu wa majeshi Kenya afariki, Ruto atangaza maombolezo

Spread the loveRais wa Kenya, William Ruto ametangaza maombezo ya siku tatu...

Kimataifa

Majaji kuamua hatima ya Zuma leo

Spread the loveMajaji nchini Afrika Kusini leo Jumanne wataamua ikiwa rais wa...

Habari za SiasaKimataifa

Spika Afrika Kusini ajiuzulu kwa tuhuma za rushwa

Spread the loveSpika wa Bunge la Afrika Kusini, Nosiviwe Mapisa-Nqakula ametangaza kujiuzulu...

error: Content is protected !!