Tuesday , 7 May 2024
Home Kitengo Michezo Bosi Simba afiwa na mama mzazi
Michezo

Bosi Simba afiwa na mama mzazi

Barbara Gonzalez,Ofisa Mtendaji Mkuu wa Simba
Spread the love

 

RHODA Yahya Lambert, mama mzazi wa Ofisa Mtendaji Mkuu wa timu ya Simba amefariki dunia nyumbani kwake Kigamboni Dar es Salaam. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam …(endelea).

Taarifa iliyotolewa na Simba imesema, Rhoda amefikwa n amauti asubuhi ya leo Jumapili, tarehe 14 Novemba 2021 akiwa nyumbani kwake.

Mazishi yatafanyika leo, saa 10:30 jioni katika makaburi ya Kisutu jijini humo.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

Idris Sultan anogesha msimu wa 3 wa Bridgerton

Spread the loveSTAA wa burudani kutoka ardhi ya Tanzania, Idris Sultan amenogesha...

Michezo

Ligi mbalimbali za pesa kuendelea leo

Spread the love JUMAPILI ya leo imekaa kipesa tuu yani baada ya...

Michezo

Usiishie kuangalia tu game za leo, piga na mkwanja na Meridianbet

Spread the love  LIGI mbalimbali barani ulaya zitarejea tena Jumamosi ya leo...

Michezo

Ligi mbalimbali za pesa kuendelea leo

Spread the love Ijumaa ya leo ambapo mechi mbalimbali zinaendelea Duniani Meridianbet...

error: Content is protected !!