Friday , 26 April 2024
Home Kitengo Michezo Bosi Simba afiwa na mama mzazi
Michezo

Bosi Simba afiwa na mama mzazi

Barbara Gonzalez,Ofisa Mtendaji Mkuu wa Simba
Spread the love

 

RHODA Yahya Lambert, mama mzazi wa Ofisa Mtendaji Mkuu wa timu ya Simba amefariki dunia nyumbani kwake Kigamboni Dar es Salaam. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam …(endelea).

Taarifa iliyotolewa na Simba imesema, Rhoda amefikwa n amauti asubuhi ya leo Jumapili, tarehe 14 Novemba 2021 akiwa nyumbani kwake.

Mazishi yatafanyika leo, saa 10:30 jioni katika makaburi ya Kisutu jijini humo.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

EPL, Ligue 1 na Coppa Italia kinawaka leo

Spread the love  LEO ligi kadhaa zitaendelea nchini barani ulaya ikiwemo ligi...

BiasharaMichezo

NBC yaunga mkono jitihada kutokomeza malaria

Spread the loveKuelekea Maadhimisho ya siku ya malaria Duniani yatakayofanyika kesho Aprili...

Michezo

Arsenal dhidi ya Chelsea ngoma nzito leo EPL

Spread the love  Leo kutakua na mchezo mkali sana pale kwenye ligi...

Habari MchanganyikoMichezo

NBC yanogesha Derby Kariakoo, Aziz Ki aibuka mchezaji bora Machi

Spread the loveBenki ya Taifa ya Biashara (NBC) ambayo ni mdhamini Mkuu...

error: Content is protected !!