Friday , 3 May 2024
Home Kitengo Michezo Kocha wa zamani Simba, Azam atua Mtibwa
Michezo

Kocha wa zamani Simba, Azam atua Mtibwa

Spread the love

 

TIMU ya Mtibwa Sugar ya Morogoro nchini Tanzania, imemtambulisha Omog Joseph Marious (49), raia wa Cameroon kuwa kocha mkuu wa timu hiyo. Anaripoti Mitanga Hunda, TUDARCo … (endelea).

Omog aliyewahi kuzifundisha timu za Simba na Azam FC za Tanzania kwa nyakati, ametambulishwa jana Ijumaa, tarehe 24 Septemba 2021.

Katika kurasa zake za kijamii cha Mtibwa, wamewekwa picha za Omog na kuandika “tunayofuraha kumtambulisha kwenu kocha wetu mpya Omog Joseph Marious.”

Joseph Omog

“Ujuzi wake ukichanganya na ujuzi wa kikosi chetu na sukari yetu bora nchini mambo yatakuwa matamu sanaaa..!.”

Omog aliifundisha Simba kwa mwaka mmoja katika msimu wa 2016/17 akianza Azam FC yenye makazi yake Chamanzi-Mbagala jijini Dar es Salaam kati ya 2013 hadi 2015.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

Europa na Conference kukupatia pesa ndefu leo

Spread the love  ALHAMISI ya leo tutaenda kushuhudia mitanange ya kukata na...

Habari MchanganyikoMichezo

Wanamichezo Mei Mosi wachangia wahitaji vitu vya mil. 11.5

Spread the loveWanamichezo wanaoshiriki Michezo ya Mei Mosi Taifa 2024 jijini Arusha...

Michezo

Usiku wa Ulaya umerejea kibabe kabisa

Spread the love  LIGI ya Mabingwa barani Ulaya imerejea tena na awamu...

Habari MchanganyikoMichezo

Mambo ya Ndani, Ulinzi zang’ara michezo ya Mei Mosi Arusha

Spread the loveRais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi nchini (TUCTA), Tumaini...

error: Content is protected !!