Friday , 3 May 2024
Home Kitengo Michezo Simba Day: TP Mazembe kuwasilia leo
Michezo

Simba Day: TP Mazembe kuwasilia leo

Spread the love

 

KIKOSI cha wachezaji 23 wa timu ya TP Mazembe ya Congo kinawasili nchini Tanzania leo Jumamosi, tarehe 18 Septemba 2021. Anaripoti Hunda Mintanga, TUDARCo … (endelea).

TP Mazembe wanakuja kunogesha kilele cha tamasha la Simba Day linalohitimishwa kesho Jumapili, katika Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam.

Katika tamasha hilo, Simba ambaoni mabingwa mara nne mfululizo wa ligi kuu Tanzania Bara, watatambulisha wachezaji wake itakaowatumika katika msimu ujao.

Pia, kutakuwa na buradani mbalimbali kutoka kwa wasanii na michezo ya awali ya mipira wa miguu kwa timu zake za vijana na wanawake.

TP Mazembe ambao wamewahi kutwaa ubingwa wa Klabu Bingwa Afrika, wataumana na Simba ambayo iliweka kambi jijini Arusha na jana Ijumaa usiku,imerejea Dar es Salaam.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

Europa na Conference kukupatia pesa ndefu leo

Spread the love  ALHAMISI ya leo tutaenda kushuhudia mitanange ya kukata na...

Habari MchanganyikoMichezo

Wanamichezo Mei Mosi wachangia wahitaji vitu vya mil. 11.5

Spread the loveWanamichezo wanaoshiriki Michezo ya Mei Mosi Taifa 2024 jijini Arusha...

Michezo

Usiku wa Ulaya umerejea kibabe kabisa

Spread the love  LIGI ya Mabingwa barani Ulaya imerejea tena na awamu...

Habari MchanganyikoMichezo

Mambo ya Ndani, Ulinzi zang’ara michezo ya Mei Mosi Arusha

Spread the loveRais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi nchini (TUCTA), Tumaini...

error: Content is protected !!