Saturday , 20 April 2024
Home Kitengo Michezo Simba Day: TP Mazembe kuwasilia leo
Michezo

Simba Day: TP Mazembe kuwasilia leo

Spread the love

 

KIKOSI cha wachezaji 23 wa timu ya TP Mazembe ya Congo kinawasili nchini Tanzania leo Jumamosi, tarehe 18 Septemba 2021. Anaripoti Hunda Mintanga, TUDARCo … (endelea).

TP Mazembe wanakuja kunogesha kilele cha tamasha la Simba Day linalohitimishwa kesho Jumapili, katika Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam.

Katika tamasha hilo, Simba ambaoni mabingwa mara nne mfululizo wa ligi kuu Tanzania Bara, watatambulisha wachezaji wake itakaowatumika katika msimu ujao.

Pia, kutakuwa na buradani mbalimbali kutoka kwa wasanii na michezo ya awali ya mipira wa miguu kwa timu zake za vijana na wanawake.

TP Mazembe ambao wamewahi kutwaa ubingwa wa Klabu Bingwa Afrika, wataumana na Simba ambayo iliweka kambi jijini Arusha na jana Ijumaa usiku,imerejea Dar es Salaam.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

Tusua mkwanja na mechi za Ijumaa leo

Spread the love  LEO hii mechi zinaendelea kote na wewe kama unataka...

Michezo

Piga pesa na mechi za EUROPA leo hii

Spread the love Hatimaye Alhamisi ya EUROPA imefika ambapo leo hii mechi...

Michezo

Leo ni leo nani kutinga nusu fainali UEFA?

Spread the love HATIMAYE Jumanne ya UEFA imefika ambapo leo hii michezo...

Michezo

Anza Jumatatu yako na Meridianbet

Spread the love  IKIWA ni siku nyingine mpya kabisa ya Jumatatu baadhi...

error: Content is protected !!