Sunday , 5 May 2024
Home Habari Mchanganyiko Rais Samia amlilia kaka yake Mbowe
Habari MchanganyikoTangulizi

Rais Samia amlilia kaka yake Mbowe

Spread the love

 

RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ametuma salamu za rambirambi kwa Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzania nchini humo-Chadema kufuatia kifo cha kaka yake, Charles Mbowe. Anaripoti Hamis Mguta, Dar es Salaam … (endelea).

Charles amefikwa na mauti usiku wa kumakia leo Jumatano, tarehe 8 Julai 2021, katika Hospitali ya KCMC, Moshi mkoani Kilimanjaro.

Rais Samia ametumia ukurasa wake wa Twitter kutuma salamu za rambirambi akisema “Nakupa pole Ndg. Freeman Mbowe (Mwenyekiti wa CHADEMA) na wafiwa wote kwa kuondokewa na ndugu yenu mpendwa Charles Mbowe.”

“Nawaombea moyo wa subira, uvumilivu na ustahimilivu katika kipindi hiki cha majonzi. Bwana ametoa na Bwana ametwaa, jina lake lihimidiwe, Amina,” amesema Rais Samia

Mapema leo Alhamisi mchana, Freeman amesema, kaka yake atazikwa nyumabani kwao Machame, Jumatatu tarehe 12 Julai 2021.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoTangulizi

Kimbunga Hidaya chatikisa Mafia

Spread the loveWAKATI hali ya upepo mkali ikiendelea kushuhudiwa katika baadhi ya...

Habari za SiasaTangulizi

Mbatia ambwaga Selasini, mahakama yaamuru alipwe fidia

Spread the loveMAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam, imemuamuru...

Habari za SiasaTangulizi

Mkulo afariki dunia, kuzikwa kesho Kilosa

Spread the loveALIYEKUWA Waziri wa Fedha na Mbunge wa Kilosa (CCM), Mustafa...

Habari MchanganyikoTangulizi

Usafiri baharini wasitishwa kukwepa athari za kimbunga Hidaya

Spread the loveUSAFIRI wa baharini umesimamishwa kwa muda ili kukwepa athari za...

error: Content is protected !!