Tuesday , 7 May 2024
Home Kitengo Michezo Euro 2020 kutimua vumbi kesho
Michezo

Euro 2020 kutimua vumbi kesho

Spread the love

 

Kivumbi cha michuano ya Euro kitaanza kutimua vumbi kesho, ambapo kutapigwa mchezo mmoja wa kundi A, kati ya Uturuki dhidi ya Italy. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea)

Michuano hiyo itashikilisha timu 24, ambapo ilitakiwa kufanyika mwaka jana na kuahirishwa mara baada ya mlipuko wa ugonjwa wa virusi vya Corona.

Ratiba ya michuano hiyo pia, itaendelea jumamosi ambapo itapigwa michezo mitatu, Wales wataikabili Uswis, Denmark dhidi Finland na Ubeligiji watamenyana na Urusi.

Bingwa mtetezi timu ya Taifa ya Ureno ambayo ipo kundi F, itashuka dimbani siku ya Jumanne dhidi ya Hungary.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

Idris Sultan anogesha msimu wa 3 wa Bridgerton

Spread the loveSTAA wa burudani kutoka ardhi ya Tanzania, Idris Sultan amenogesha...

Michezo

Ligi mbalimbali za pesa kuendelea leo

Spread the love JUMAPILI ya leo imekaa kipesa tuu yani baada ya...

Michezo

Usiishie kuangalia tu game za leo, piga na mkwanja na Meridianbet

Spread the love  LIGI mbalimbali barani ulaya zitarejea tena Jumamosi ya leo...

Michezo

Ligi mbalimbali za pesa kuendelea leo

Spread the love Ijumaa ya leo ambapo mechi mbalimbali zinaendelea Duniani Meridianbet...

error: Content is protected !!