Monday , 6 May 2024
Home Kitengo Michezo Bocco mchezaji bora mwezi Mei
MichezoTangulizi

Bocco mchezaji bora mwezi Mei

John Bocco mshambuliaji wa Simba
Spread the love

Mshambuliaji wa klabu ya Simba John Bocco ameshinda tuzo ya kuwa mchezaji bora wa mashabiki mwezi Mei, mara baada ya kuwabwaga Thadeo Lwanga na Bernad Morrison waliokuwa wote kwenye kinyang’anyiro. Anaripoti Kelvin Mwaipungu…(endelea)

Katika michezo aliyocheza mwezi Mei katika mashindano ya Ligi Kuu na Ligi ya Mabingwa Barani Afrika mshambuliaji huyo amepachika jumla ya mabao 5.

Mara baada ya kuchaguliwa kushinda tuzo hiyo Bocco atapata kitita cha shilingi 1,000,000 kutoka kwa wadhamini wa tuzo hiyo kampuni ya Emirates Aluminium.

Katika kura zilizopigwa mshambuliaji huyo ameshinda kwa asilimia 59.3, nafasi ya pili ikishikwa na Morrison aliyepata asilimia 29.4 na Lwanga alipata asilimia 11.3.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

Jacob, Malisa wapandishwa kizimbani kwa mashtaka ya uongo mitandaoni

Spread the loveMKURUGENZI wa Shirika la Haki, Godlisten Malisa na mwanachama wa...

Michezo

Idris Sultan anogesha msimu wa 3 wa Bridgerton

Spread the loveSTAA wa burudani kutoka ardhi ya Tanzania, Idris Sultan amenogesha...

Habari za SiasaTangulizi

Kinana: Hatukubali kushutumiwa kwa uongo

Spread the loveMakamu Mwenyekiti wa CCM Bara, Abdulrahman Kinana amesema viongozi wa...

Michezo

Ligi mbalimbali za pesa kuendelea leo

Spread the love JUMAPILI ya leo imekaa kipesa tuu yani baada ya...

error: Content is protected !!