Friday , 3 May 2024
Home Kitengo Michezo Simba yambakisha Tshabalala
Michezo

Simba yambakisha Tshabalala

Spread the love

Baada ya tetesi nyingi hatimaye klabu ya Simba imemuongezea mkataba beki wake wa kushoto Mohammed Hussen ‘Tshabalala’. Anaripoti Kelvin Mwaipungu, Dar es Salaam … (endelea).

Taarifa kutoka kwenye ukurasa wao kwenye mtandao wa Kijamii wa Instagram wameweka picha ya mchezaji huyo akisaini mkataba mpya na kuandika kuwa “Bado yupo Sana.”

 

Hivi karibuni kulikuwa na taarifa za kuwa huwenda mchezaji huyo akatimkia upande wa pili wa mapinzani wao klabu ya Yanga mara baada ya mchezaji huyo mkataba wake kumalizika mwishoni mwa msimu huu.

Katika taarifa yao hiyo Simba haikueleza mchezaji huyo ameongeza mkataba katika kipindi cha muda gani wala kutaja thamani ya mkataba huo.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

Europa na Conference kukupatia pesa ndefu leo

Spread the love  ALHAMISI ya leo tutaenda kushuhudia mitanange ya kukata na...

Habari MchanganyikoMichezo

Wanamichezo Mei Mosi wachangia wahitaji vitu vya mil. 11.5

Spread the loveWanamichezo wanaoshiriki Michezo ya Mei Mosi Taifa 2024 jijini Arusha...

Michezo

Usiku wa Ulaya umerejea kibabe kabisa

Spread the love  LIGI ya Mabingwa barani Ulaya imerejea tena na awamu...

Habari MchanganyikoMichezo

Mambo ya Ndani, Ulinzi zang’ara michezo ya Mei Mosi Arusha

Spread the loveRais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi nchini (TUCTA), Tumaini...

error: Content is protected !!