Friday , 3 May 2024
Home Kitengo Michezo Namungo yapaa Morocco kuifuata Raja
Michezo

Namungo yapaa Morocco kuifuata Raja

Kikosi cha timu ya Namungo wakati wakiondoka nchini Tanzania
Spread the love

 

KIKOSI cha wachezaji wa Namungo pamoja na viongozi kimeondoka kuelekea nchini Morocco kwa ajili ya kucheza mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Raja Casablanca. Anaripoti Kelvin Mwaipungu, Dar es Salaam … (endelea).

Namungo imeondoka jana majira ya saa 3:45 usiku kutoka Uwanja wa Julius Nyerere Dar es Salaam kuelekea nchini Morocco wakipitia Doha Qatar.

Mchezo huo wa kwanza wa kundi D, utapigwa tarehe 10 Machi 2021, kwenye mji wa Casablanca.

Namungo ambayo inashiriki michuano hiyo kwa mara ya kwanza imepangwa kwenye kundi D, sambamba na klabu za Raja Casablanca, Pyramid na Nkana Red Devil.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

Europa na Conference kukupatia pesa ndefu leo

Spread the love  ALHAMISI ya leo tutaenda kushuhudia mitanange ya kukata na...

Habari MchanganyikoMichezo

Wanamichezo Mei Mosi wachangia wahitaji vitu vya mil. 11.5

Spread the loveWanamichezo wanaoshiriki Michezo ya Mei Mosi Taifa 2024 jijini Arusha...

Michezo

Usiku wa Ulaya umerejea kibabe kabisa

Spread the love  LIGI ya Mabingwa barani Ulaya imerejea tena na awamu...

Habari MchanganyikoMichezo

Mambo ya Ndani, Ulinzi zang’ara michezo ya Mei Mosi Arusha

Spread the loveRais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi nchini (TUCTA), Tumaini...

error: Content is protected !!