Friday , 3 May 2024
Home Kitengo Michezo Gundogan akutwa na Corona
Michezo

Gundogan akutwa na Corona

Ilkay Gundogan
Spread the love

KLABU ya Manchester City inayoshiriki Ligi Kuu nchini England imethibitisha kuwa kiungo wake Ilkay Gundogan amekutwa na maambukizi ya virusi vya Corona baada ya kuchukuliwa vipimo. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa … (endelea)

Taarifa hiyo kutoka ndani ya klabu hiyo yenye makao yake jijini Manchester, England imeeleza kuwa mchezaji huyo atajitenga na wanzake kwa siku 10, kama ilivyokuwa taratibu za serikali nchini humo.

Toka msimu mpya wa Ligi 2020/21 klabu ziliwekewa utaratibu wa kupima virus wachezaji pamoja na wafanyakazi huku katazo la mashabiki kuingia uwanjani likiendelea kuwepo.

1 Comment

  • Восемьдесят процентов успеха – это показаться в необходимом месте в правильное время. Как прекрасно, собственно что я с друзьми наткнулись на Вашу заметку!

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

Europa na Conference kukupatia pesa ndefu leo

Spread the love  ALHAMISI ya leo tutaenda kushuhudia mitanange ya kukata na...

Habari MchanganyikoMichezo

Wanamichezo Mei Mosi wachangia wahitaji vitu vya mil. 11.5

Spread the loveWanamichezo wanaoshiriki Michezo ya Mei Mosi Taifa 2024 jijini Arusha...

Michezo

Usiku wa Ulaya umerejea kibabe kabisa

Spread the love  LIGI ya Mabingwa barani Ulaya imerejea tena na awamu...

Habari MchanganyikoMichezo

Mambo ya Ndani, Ulinzi zang’ara michezo ya Mei Mosi Arusha

Spread the loveRais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi nchini (TUCTA), Tumaini...

error: Content is protected !!