Saturday , 20 April 2024
Home Kitengo Michezo Gundogan akutwa na Corona
Michezo

Gundogan akutwa na Corona

Ilkay Gundogan
Spread the love

KLABU ya Manchester City inayoshiriki Ligi Kuu nchini England imethibitisha kuwa kiungo wake Ilkay Gundogan amekutwa na maambukizi ya virusi vya Corona baada ya kuchukuliwa vipimo. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa … (endelea)

Taarifa hiyo kutoka ndani ya klabu hiyo yenye makao yake jijini Manchester, England imeeleza kuwa mchezaji huyo atajitenga na wanzake kwa siku 10, kama ilivyokuwa taratibu za serikali nchini humo.

Toka msimu mpya wa Ligi 2020/21 klabu ziliwekewa utaratibu wa kupima virus wachezaji pamoja na wafanyakazi huku katazo la mashabiki kuingia uwanjani likiendelea kuwepo.

1 Comment

  • Восемьдесят процентов успеха – это показаться в необходимом месте в правильное время. Как прекрасно, собственно что я с друзьми наткнулись на Вашу заметку!

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

Tusua mkwanja na mechi za Ijumaa leo

Spread the love  LEO hii mechi zinaendelea kote na wewe kama unataka...

Michezo

Piga pesa na mechi za EUROPA leo hii

Spread the love Hatimaye Alhamisi ya EUROPA imefika ambapo leo hii mechi...

Michezo

Leo ni leo nani kutinga nusu fainali UEFA?

Spread the love HATIMAYE Jumanne ya UEFA imefika ambapo leo hii michezo...

Michezo

Anza Jumatatu yako na Meridianbet

Spread the love  IKIWA ni siku nyingine mpya kabisa ya Jumatatu baadhi...

error: Content is protected !!