Tuesday , 21 March 2023
Home Kitengo Michezo Gundogan akutwa na Corona
Michezo

Gundogan akutwa na Corona

Ilkay Gundogan
Spread the love

KLABU ya Manchester City inayoshiriki Ligi Kuu nchini England imethibitisha kuwa kiungo wake Ilkay Gundogan amekutwa na maambukizi ya virusi vya Corona baada ya kuchukuliwa vipimo. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa … (endelea)

Taarifa hiyo kutoka ndani ya klabu hiyo yenye makao yake jijini Manchester, England imeeleza kuwa mchezaji huyo atajitenga na wanzake kwa siku 10, kama ilivyokuwa taratibu za serikali nchini humo.

Toka msimu mpya wa Ligi 2020/21 klabu ziliwekewa utaratibu wa kupima virus wachezaji pamoja na wafanyakazi huku katazo la mashabiki kuingia uwanjani likiendelea kuwepo.

1 Comment

  • Восемьдесят процентов успеха – это показаться в необходимом месте в правильное время. Как прекрасно, собственно что я с друзьми наткнулись на Вашу заметку!

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

Yanga: Fedha za Rais Samia zinaleta ari kubwa

Spread the loveUONGOZI wa klabu ya Yanga, umesema fedha zinazotolewa na Rais...

Michezo

Simba Sc. yamvulia kofia Rais Samia, yamuahidi makubwa dhidi ya Horoya

Spread the loveWAKATI timu ya Simba ikiibuka na ushindi wa bao 3-0...

Michezo

Taasisi ya TKO na TFF yawapiga msasa makocha wa kike 54

Spread the love WAKATI Soka la wasichana likichipua kwa kasi Taasisi ya...

Michezo

Kimwanga CUP yazidi kutimua vumbi

Spread the loveMASHINDANO ya mpira wa miguu ya Kimwanga CUP ya kuwania...

error: Content is protected !!