Saturday , 3 June 2023
Home Habari Mchanganyiko Balozi wa Poland aongoza kusafisha ufukwe Kawe
Habari Mchanganyiko

Balozi wa Poland aongoza kusafisha ufukwe Kawe

Spread the love

KRZYSZTOF Buzalski, Balozi wa Poland nchini Tanzania ameungana na wadau wa masuala ya usafi, kusafisha ufukwe wa Kawe jijini Dar es Dalaam. Anaripoti Brightness Boaz, Dar es Salaam … (endelea).

Usafi huo umefanyika leo Jumatatu tarehe 21 Septemba 2020.

Mara baada ya kukamilisha shughuli hiyo, Balozi Buzalski amesema, amefurahishwa kushirikiana na Watanzania waliojitokeza kufanya usafi kwa sababu tatizo likitokea la uharibifu wa mazingira litaathiri watu wote.

Amesema, suala la taka za plastiki zipo kila sehemu na anafurahi kuona kila mwaka watu wakijitokeza kufanya usafi hivyo kila mmoja asimame katika nafasi yake kuzuia uchafuzi katika fukwe.

“Nimefurahi kuona Watanzania na wageni ambao wamejitokeza kufanya usafi kwa pamoja, kwa sababu tatizo tunalo kumbana nalo linaenda kutuadhiri wote, haijalishi unaishi Ulaya, Tanzania au Australia.”

“Uchafu wa plastiki upo kila mahali, kwa hiyo ninafuraha kila mwaka kuna kundi dogo la watu wanaoamu kuchukua nafasi katika shughuli ya usafi,” amesema Balozi Buzalski

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Magunia 731 ya bangi yakamatwa, mamia ya hekari yateketezwa Arumeru

Spread the love  MAMIA ya magunia ya madawa ya kulevya aina ya...

Habari MchanganyikoTangulizi

Bosi NIC apandishwa kizimbani, akabiliwa na mashitaka 365

Spread the love  ALIYEKUWA Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Bima la Taifa...

Habari Mchanganyiko

Serikali yakabidhi eneo la mahakama ya Afrika ya haki za binadamu

Spread the loveSerikali kupitia Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa...

Habari Mchanganyiko

Udhamini wa NMB mikutano ya ALAT wafikia 1.2 bilioni

Spread the loveBENKI ya NMB imeendelea kufanya kazi kwa karibu na Asasi...

error: Content is protected !!