Tuesday , 7 May 2024
Home Kitengo Michezo FIFA: Ya Sepp Blatter yamkuta Infantino
Michezo

FIFA: Ya Sepp Blatter yamkuta Infantino

Spread the love

TUHUMA za rushwa ndani ya Shirikisho la Soka Duniani (FIFA), limechepua tena na sasa Gianni Infantino, rais wa shirika hilo amefunguliwa jalada la uchunguzi. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa…(endelea).

Infantino anatuhumiwa kuingilia uchunguzi uliofanywa na FIFA dhidi ya Sepp Blatter mwaka 2015, aliyekuwa rais wa shirika hilo kwa kutoa taarifa za uongo na kwa maslahi binafsi. Infantino aliapishwa kuwa rais wa FIFA tarehe 26 Februari 2016.

Kwa mujibu wa mwendesha mashtaka wa Uswisi Stefan Keller, wiki iliyopita, Infantino alifunguliwa jalada la uchunguzi kuhusu kuhusika kwake, ni baada ya kuonekana kuwepo kwa viashiria vya Infantino kufanya vigisu wakati wa uchunguzi wa Blatter.

Hata hivyo, Infantino amepuuza madai hayo ambayo sasa yanaripotiwa kwa kiwango kikubwa na vyombo vya habari vya Uswisi na Ujerumani.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

Idris Sultan anogesha msimu wa 3 wa Bridgerton

Spread the loveSTAA wa burudani kutoka ardhi ya Tanzania, Idris Sultan amenogesha...

Michezo

Ligi mbalimbali za pesa kuendelea leo

Spread the love JUMAPILI ya leo imekaa kipesa tuu yani baada ya...

Michezo

Usiishie kuangalia tu game za leo, piga na mkwanja na Meridianbet

Spread the love  LIGI mbalimbali barani ulaya zitarejea tena Jumamosi ya leo...

Michezo

Ligi mbalimbali za pesa kuendelea leo

Spread the love Ijumaa ya leo ambapo mechi mbalimbali zinaendelea Duniani Meridianbet...

error: Content is protected !!