Saturday , 27 April 2024
Home Kitengo Habari Kimataifa Corona: Saa 24 watu 572 wafariki A. Kusini
Kimataifa

Corona: Saa 24 watu 572 wafariki A. Kusini

Spread the love

SAA 24 zilizopita, watu 572 wameripotiwa kufariki dunia nchini Afrika Kusini kwa ugonjwa wa homa ya mapafu unaosababishwa na virusi vya corona (COVID-19). Inaripoti BBC … (endelea).

Baraza la Utafiti wa Tiba nchini humo limeeleza, kwamba upo wasiwasi idadi ya waliofariki ikawa kubwa zaidi ya hiyo kutokana na vifo vingine kutoripotiwa.

“Tuna wasiwasi kuwa, huenda idadi ya waliopoteza maisha kutokana na virusi vya corona ni kubwa zaidi kuliko takwimu zinavyoonesha,” limeeleza baraza hilo.

Tafiti za majuma 10 yaliyopita zinaonesha, kumekuwa na vifo 17,000 zaidi kuliko kawaida na kwamba, kuna vifo 11,000 ambavyo havijaelezwa.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaKimataifaTangulizi

Tanzania, Somalia kuibua maeneo mapya ya ushirikiano

Spread the love  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema Tanzania na Somalia...

KimataifaTangulizi

Mkuu wa majeshi Kenya afariki, Ruto atangaza maombolezo

Spread the loveRais wa Kenya, William Ruto ametangaza maombezo ya siku tatu...

Kimataifa

Majaji kuamua hatima ya Zuma leo

Spread the loveMajaji nchini Afrika Kusini leo Jumanne wataamua ikiwa rais wa...

Habari za SiasaKimataifa

Spika Afrika Kusini ajiuzulu kwa tuhuma za rushwa

Spread the loveSpika wa Bunge la Afrika Kusini, Nosiviwe Mapisa-Nqakula ametangaza kujiuzulu...

error: Content is protected !!