Monday , 6 May 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Urais Z’bar: CCM yampitisha Dk. Mwinyi
Habari za SiasaTangulizi

Urais Z’bar: CCM yampitisha Dk. Mwinyi

Dk. Hussein Mwinyi, Mgomnbea Urais Zanzibar (CCM)
Spread the love

DAKTARI Hussein Ali Mwinyi amechaguliwa kwa asilimia 78 za wajumbe wa Halmashauri Mkuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwa mgombea urais wa Zanzibar katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2020. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea).

Akitangaza matokeo hayo, Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai amesemaq, Dk. Mwinyi amepata kura 129 sawa na asilimia 78.65, Shamsi Vuai Nahidha kura 16 na Dk. Khalid Salum Muhamed kura 19.

Katika uchaguzi huo, Dk. Mwinyi atashiriki uchaguzi huo kumrithi Rais Ali Mohamed Shein ambaye hatogombea kutokana na kumaliza muda wake wa miaka kumi ya uongozi.

Endelea kufuatilia MwanaHALISI Online na MwanaHALISI TV kwa habari zaidi

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Serikali kutafuta mwekezaji mwingine Bandari ya Dar es Salaam

Spread the loveSERIKALI inaendelea kutafuta mwekezaji mwingine atakayeendesha gati namba nane hadi...

Habari za SiasaTangulizi

Kinana: Hatukubali kushutumiwa kwa uongo

Spread the loveMakamu Mwenyekiti wa CCM Bara, Abdulrahman Kinana amesema viongozi wa...

Habari MchanganyikoTangulizi

Kimbunga Hidaya chatikisa Mafia

Spread the loveWAKATI hali ya upepo mkali ikiendelea kushuhudiwa katika baadhi ya...

Habari za SiasaTangulizi

Mbatia ambwaga Selasini, mahakama yaamuru alipwe fidia

Spread the loveMAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam, imemuamuru...

error: Content is protected !!