Tuesday , 7 May 2024
Home Habari Mchanganyiko Mufti wa Tanzania afiwa na mkewe
Habari Mchanganyiko

Mufti wa Tanzania afiwa na mkewe

Aboubakar Zubeir, Mufti wa Tanzania
Spread the love

MUFTI wa Tanzania, Aboubakar Zubeir amefiwa na mke wake mkubwa anayefahamika kwa jina la Mama Shafi. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea).

Taarifa ya kifo hicho imetolewa leo tarehe 30 Jnauari 2019 na Mwenyekiti wa Halmashauri Kuu Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA), Sheikh Hamis Mataka.

Taarifa ya Sheikh Mataka inaeleza kuwa, Mama Shafi amefariki dunia akiwa wilaya ya Korogwe mkoani Tanga.

Mazishi ya Mama Shafi yatafanyika kesho tarehe 31 Januari 2019 baada ya swala ya adhuhuri mkoani Tanga.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

BiasharaHabari Mchanganyiko

NBC, SILABU waungana kufikisha elimu ya fedha majumbani

Spread the loveBenki ya Taifa ya Biashara (NBC) imeingia makubaliano ya ushirikiano...

AfyaHabari MchanganyikoMakala & Uchambuzi

Kisukari cha mimba ni nini?

Spread the loveKisukari cha mimba ni aina ya kisukari kinachotokea kwa baadhi...

Habari Mchanganyiko

Mafunzo kwa bodaboda 395 yamkuna Meya Dodoma

Spread the loveNAIBU Meya wa Jiji la Dodoma, Asma Karama amepongeza mafunzo...

Habari Mchanganyiko

Samia aagiza huduma za dharura maeneo yaliyoathiriwa na kimbunga Hidaya

Spread the love   RAIS wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania, Samia...

error: Content is protected !!