Saturday , 27 April 2024
Home Habari Mchanganyiko Mufti wa Tanzania afiwa na mkewe
Habari Mchanganyiko

Mufti wa Tanzania afiwa na mkewe

Aboubakar Zubeir, Mufti wa Tanzania
Spread the love

MUFTI wa Tanzania, Aboubakar Zubeir amefiwa na mke wake mkubwa anayefahamika kwa jina la Mama Shafi. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea).

Taarifa ya kifo hicho imetolewa leo tarehe 30 Jnauari 2019 na Mwenyekiti wa Halmashauri Kuu Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA), Sheikh Hamis Mataka.

Taarifa ya Sheikh Mataka inaeleza kuwa, Mama Shafi amefariki dunia akiwa wilaya ya Korogwe mkoani Tanga.

Mazishi ya Mama Shafi yatafanyika kesho tarehe 31 Januari 2019 baada ya swala ya adhuhuri mkoani Tanga.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Wakili: Ukimpa zawadi mwenza marufuku kumpora hata mkiachana

Spread the love  WANANDOA na watu waliko kwenye mahusiano ya kimapenzi, wamekumbushwa...

Habari Mchanganyiko

Majaliwa: Mvua zimesababisha vifo vya watu 155, kuendelea hadi Mei

Spread the love  WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amesema mvua kubwa za El-Nino...

Habari Mchanganyiko

Exim Bank yatoa  vitanda kwa shule ya Jeshi la Polisi Moshi

Spread the love  BENKI ya Exim imekabidhii  seti ya vitanda kwa Shule...

Habari Mchanganyiko

NBC yakabidhi vitanda Shule ya Polisi Moshi

Spread the loveBenki ya NBC imekabidhi msaada wa vitanda 28 kwa Shule...

error: Content is protected !!