Tuesday , 7 May 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Kesi ya dhamana ya Mbowe, Matiko kiza kinene
Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya dhamana ya Mbowe, Matiko kiza kinene

Spread the love

MAHAKAMA Kuu, kanda ya Dar es Salaam, inatarajiwa kutoa maamuzi muda mfupi ujao, iwapo maombi ya Freeman Mbowe na Ester Matiko ya kupewa dhamana yaendelee kusikilizwa ama yasubiri maamuzi ya rufaa yaliyowasilishwa na serikali kupinga kutupwa kwa mapingamizi yao. Anaripoti Faki Sosi … (endelea).

Wakili wa Serikali Mkuu, Paul Kadushi ameieleza Mahakama Kuu leo Ijumaa Novemba 30, 2018 kuwa baada ya kukata rufaa kwa sasa Mahakama Kuu haina mamlaka ya kuendelea na usikilizwaji wa rufaa hiyo ya kina Mbowe.

Hata hivyo, kumeibuka malumbano baina ya mawakili wa pande zote, huku mawakili wa kina Mbowe wakipinga uhalali wa taarifa ya Serikali ya kusudio la kukata rufaa kwa madai hawajafahamishwa na Msajili wa Mahakama Kuu kuhusu kuwepo kwa taarifa hiyo.

Kwa habari zaidi, soma MwanaHALISI Online.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

Jacob, Malisa wapandishwa kizimbani kwa mashtaka ya uongo mitandaoni

Spread the loveMKURUGENZI wa Shirika la Haki, Godlisten Malisa na mwanachama wa...

BiasharaHabari za Siasa

Bunge laitaka Serikali kudhibiti ufisadi miradi ya mkakati

Spread the loveKAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu, imeitaka Serikali kuimarisha...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Wizara ya Uchukuzi yaomba kuongezewa bajeti na Bunge

Spread the loveWIZARA ya Uchukuzi imeliomba Bunge liidhinishe bajeti yake kwa mwaka...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Serikali kutafuta mwekezaji mwingine Bandari ya Dar es Salaam

Spread the loveSERIKALI inaendelea kutafuta mwekezaji mwingine atakayeendesha gati namba nane hadi...

error: Content is protected !!