Wednesday , 27 September 2023
Home Gazeti Habari za Siasa Kesi ya dhamana ya Mbowe, Matiko kiza kinene
Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya dhamana ya Mbowe, Matiko kiza kinene

Spread the love

MAHAKAMA Kuu, kanda ya Dar es Salaam, inatarajiwa kutoa maamuzi muda mfupi ujao, iwapo maombi ya Freeman Mbowe na Ester Matiko ya kupewa dhamana yaendelee kusikilizwa ama yasubiri maamuzi ya rufaa yaliyowasilishwa na serikali kupinga kutupwa kwa mapingamizi yao. Anaripoti Faki Sosi … (endelea).

Wakili wa Serikali Mkuu, Paul Kadushi ameieleza Mahakama Kuu leo Ijumaa Novemba 30, 2018 kuwa baada ya kukata rufaa kwa sasa Mahakama Kuu haina mamlaka ya kuendelea na usikilizwaji wa rufaa hiyo ya kina Mbowe.

Hata hivyo, kumeibuka malumbano baina ya mawakili wa pande zote, huku mawakili wa kina Mbowe wakipinga uhalali wa taarifa ya Serikali ya kusudio la kukata rufaa kwa madai hawajafahamishwa na Msajili wa Mahakama Kuu kuhusu kuwepo kwa taarifa hiyo.

Kwa habari zaidi, soma MwanaHALISI Online.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Kapinga: Usambazaji umeme vijijini mwisho Desemba 2023

Spread the love  NAIBU Waziri wa Nishati, Judith Kapinga, amesema ifikapo mwezi...

Habari za Siasa

Mgongano wa kimasilahi wamhamisha Chande TTTCL

Spread the love  ALIYEKUWA Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO),...

Habari za SiasaTangulizi

Mgawo wa umeme: Rais Samia ampa miezi sita bosi mpya TANESCO

Spread the love  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amempa miezi sita Mkurugenzi...

Habari za Siasa

Rais Samia avunja bodi ya REA

Spread the loveRAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amemteua Balozi Jacob Kingu, kuwa...

error: Content is protected !!