Friday , 26 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Kesi ya dhamana ya Mbowe, Matiko kiza kinene
Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya dhamana ya Mbowe, Matiko kiza kinene

Spread the love

MAHAKAMA Kuu, kanda ya Dar es Salaam, inatarajiwa kutoa maamuzi muda mfupi ujao, iwapo maombi ya Freeman Mbowe na Ester Matiko ya kupewa dhamana yaendelee kusikilizwa ama yasubiri maamuzi ya rufaa yaliyowasilishwa na serikali kupinga kutupwa kwa mapingamizi yao. Anaripoti Faki Sosi … (endelea).

Wakili wa Serikali Mkuu, Paul Kadushi ameieleza Mahakama Kuu leo Ijumaa Novemba 30, 2018 kuwa baada ya kukata rufaa kwa sasa Mahakama Kuu haina mamlaka ya kuendelea na usikilizwaji wa rufaa hiyo ya kina Mbowe.

Hata hivyo, kumeibuka malumbano baina ya mawakili wa pande zote, huku mawakili wa kina Mbowe wakipinga uhalali wa taarifa ya Serikali ya kusudio la kukata rufaa kwa madai hawajafahamishwa na Msajili wa Mahakama Kuu kuhusu kuwepo kwa taarifa hiyo.

Kwa habari zaidi, soma MwanaHALISI Online.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

Prof. Lipumba ajitosa kuviunganisha vyama vya siasa Burundi

Spread the love  MWENYEKITI wa Kituo Cha Demokrasia Tanzania (TCD), Prof. Ibrahim...

Habari za Siasa

Prof. Muhongo akomalia matumizi nishati jadidifu kuondoa uhaba wa umeme

Spread the love  MBUNGE wa Musoma Vijijini (CCM), Profesa Sospeter Muhongo, ameendelea...

Habari za Siasa

Kilosa yawa mfano wa kuigwa miradi ya Mwenge nchini

Spread the love  KIONGOZI wa Mbio za Mwenge Kitaifa Godfrey Mzava amezitaka...

Habari za SiasaTangulizi

Biteko ataja vipaumbele 7 bajeti nishati 2024/25

Spread the love  NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto...

error: Content is protected !!