Sunday , 5 May 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Sakata la Balozi wa EU latinga bungeni, Spika aligomea
Habari za SiasaTangulizi

Sakata la Balozi wa EU latinga bungeni, Spika aligomea

Spread the love

SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai amegoma kuruhusu swali la Mbunge wa Ndanda, Cecil Mwambe kutolewa majibu na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, swali hilo lilihusu sakata la Balozi wa Jumuiya ya Ulaya (EU), Roeland Van de Geer kuitwa kwao. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea).

Hivi karibuni Balozi, Van de Geer aliitwa makao makuu ya EU yaliyoko mjini Brussels nchini Ubelgiji kwa kile kilichoelezwa kuwa, kwenda kujadili masuala ya kisiasa na uhusiano baina ya Tanzania na jumuiya hiyo.

Wakati akiuliza swali kwa Waziri Mkuu, leo tarehe 8 Novemba 2018 bungeni jijini Dodoma, Mwambe alitaka kujua msimamo wa serikali kuhusu madai ya kudorola kwa mahusiano mazuri baina ya Tanzania na EU kufuatia hatua ya jumuiya hiyo kumuondoa balozi wake..

Lakini, Spika Ndugai alimzuia Waziri Mkuu kujibu swali hilo, akieleza kuwa maelezo ya swali hilo yanampa tabu kuruhusu swali hilo.

“Napata tabu kuruhu ili swali, maelezo yako unasema aliitwa huko kwao, sasa unataka waziri Mkuu ajibu nini?

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoTangulizi

Kimbunga Hidaya chatikisa Mafia

Spread the loveWAKATI hali ya upepo mkali ikiendelea kushuhudiwa katika baadhi ya...

Habari za SiasaTangulizi

Mbatia ambwaga Selasini, mahakama yaamuru alipwe fidia

Spread the loveMAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam, imemuamuru...

Habari za SiasaTangulizi

Mkulo afariki dunia, kuzikwa kesho Kilosa

Spread the loveALIYEKUWA Waziri wa Fedha na Mbunge wa Kilosa (CCM), Mustafa...

Habari MchanganyikoTangulizi

Usafiri baharini wasitishwa kukwepa athari za kimbunga Hidaya

Spread the loveUSAFIRI wa baharini umesimamishwa kwa muda ili kukwepa athari za...

error: Content is protected !!