Friday , 3 May 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Zitto Kabwe akamatwa Dar
Habari za SiasaTangulizi

Zitto Kabwe akamatwa Dar

Spread the love

KIONGOZI wa chama cha ACT- Wazalendo, Zitto Zubery Kabwe, amekamatwa na jeshi la Polisi jijini Dar es Salaam. Anaripoti Faki Sosi … (endelea).

Taarifa kutoka kwa watu waliokaribu na mwanasiasa huyo machachari nchini zinasema, kwa sasa Zitto amepelekwa Kituo cha Polisi Oysterbay kwa mahojiano zaidi.

Inaelezwa kuwa Ziito amekwenda kuhojiwa juu ya madai yake kuwa raia zaidi 100 wameuwa na Polisi katika Kijiji cha Mpeta, Wilayani Uvinza, Mkoani Kigoma.

Zitto alitoa madai hayo Jumapili iliyopita, katika mkutano wake na waandishi wa habari.

Habari kamili fuatilia: www. MwanaHALISI Online.com, hivi punde.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Chadema waendelea kulilia katiba mpya

Spread the loveCHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeendelea kudai upatikanaji wa...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema kumshtaki Rais Samia

Spread the loveCHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimetishia kumfungulia kesi ya...

Habari za Siasa

Tume huru ya uchaguzi yatangaza uchaguzi mdogo Jimbo la Kwahani

Spread the love  TUME Huru ya Taifa ya Uchaguzi, imetangaza uchaguzi mdogo...

AfyaHabari za Siasa

Dk. Biteko aagiza utoaji huduma saratani usiwe wa kibaguzi

Spread the loveNaibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko...

error: Content is protected !!