Tuesday , 7 May 2024
Home Kitengo Michezo Sergio Aguero atajwa kuwania Ballon d’Or
Michezo

Sergio Aguero atajwa kuwania Ballon d’Or

Sergio Aguero, Mshambuliaji wa Manchester City
Spread the love

MSHAMBULIAJI wa timu ya Taifa ya Argentina na klabu ya Machester City, Sergio Aguero ameungana wachezaji mahiri duniani waliotajwa kuwania tuzo ya FIFA ya Ballon d’Or. Anaripoti Gerva Lyenda … (endelea).

Aguero anaungana na Gareth Bale (Real Madrid), kipa wa Liverpool, Alisson, mshambuliaji wa Real Madrid Karim Benzema na Edinson Cavani (PSG).

Waandaaji wa tuzo hiyo mwaka huu, wamesema watakuwa wakiwatangaza wachezaji watakaowania tuzo hiyo kwa mafungu mpaka wafike wachezaji 30.

Tuzo hiyo iliyoanza kutolewa mwaka 1956, hutolewa kwa mchezaji wa mpira wa kiume bora zaidi kila mwaka.

Sherehe ya kumtangaza mshindi itafanyika tarehe 3, Desemba jijini Paris, Ufaransa.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

Idris Sultan anogesha msimu wa 3 wa Bridgerton

Spread the loveSTAA wa burudani kutoka ardhi ya Tanzania, Idris Sultan amenogesha...

Michezo

Ligi mbalimbali za pesa kuendelea leo

Spread the love JUMAPILI ya leo imekaa kipesa tuu yani baada ya...

Michezo

Usiishie kuangalia tu game za leo, piga na mkwanja na Meridianbet

Spread the love  LIGI mbalimbali barani ulaya zitarejea tena Jumamosi ya leo...

Michezo

Ligi mbalimbali za pesa kuendelea leo

Spread the love Ijumaa ya leo ambapo mechi mbalimbali zinaendelea Duniani Meridianbet...

error: Content is protected !!