Saturday , 27 April 2024
Home Kitengo Michezo Sergio Aguero atajwa kuwania Ballon d’Or
Michezo

Sergio Aguero atajwa kuwania Ballon d’Or

Sergio Aguero, Mshambuliaji wa Manchester City
Spread the love

MSHAMBULIAJI wa timu ya Taifa ya Argentina na klabu ya Machester City, Sergio Aguero ameungana wachezaji mahiri duniani waliotajwa kuwania tuzo ya FIFA ya Ballon d’Or. Anaripoti Gerva Lyenda … (endelea).

Aguero anaungana na Gareth Bale (Real Madrid), kipa wa Liverpool, Alisson, mshambuliaji wa Real Madrid Karim Benzema na Edinson Cavani (PSG).

Waandaaji wa tuzo hiyo mwaka huu, wamesema watakuwa wakiwatangaza wachezaji watakaowania tuzo hiyo kwa mafungu mpaka wafike wachezaji 30.

Tuzo hiyo iliyoanza kutolewa mwaka 1956, hutolewa kwa mchezaji wa mpira wa kiume bora zaidi kila mwaka.

Sherehe ya kumtangaza mshindi itafanyika tarehe 3, Desemba jijini Paris, Ufaransa.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

EPL, Ligue 1 na Coppa Italia kinawaka leo

Spread the love  LEO ligi kadhaa zitaendelea nchini barani ulaya ikiwemo ligi...

BiasharaMichezo

NBC yaunga mkono jitihada kutokomeza malaria

Spread the loveKuelekea Maadhimisho ya siku ya malaria Duniani yatakayofanyika kesho Aprili...

Michezo

Arsenal dhidi ya Chelsea ngoma nzito leo EPL

Spread the love  Leo kutakua na mchezo mkali sana pale kwenye ligi...

Habari MchanganyikoMichezo

NBC yanogesha Derby Kariakoo, Aziz Ki aibuka mchezaji bora Machi

Spread the loveBenki ya Taifa ya Biashara (NBC) ambayo ni mdhamini Mkuu...

error: Content is protected !!