Monday , 6 May 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Rais Magufuli amteuwa Mkurugenzi mpya NIDA
Habari za SiasaTangulizi

Rais Magufuli amteuwa Mkurugenzi mpya NIDA

Spread the love

RAIS John Magufuli leo tarehe 3 Oktoba 2018 amemteua Dk. Arnold Mathias Kihaule kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA). Anaripoti Regina Kelvin … (endelea).

Taarifa ya uteuzi huo imetolewa leo na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Gerson Msigwa.

Sehemu ya taarifa hiyo inaeleza kwa, uteuzi wa Dk. Kihaule unaanza leo.

Kabla ya uteuzi huo, Dk. Kihaule alikuwa Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Ardhi (ARU)

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Serikali kutafuta mwekezaji mwingine Bandari ya Dar es Salaam

Spread the loveSERIKALI inaendelea kutafuta mwekezaji mwingine atakayeendesha gati namba nane hadi...

Habari za SiasaTangulizi

Kinana: Hatukubali kushutumiwa kwa uongo

Spread the loveMakamu Mwenyekiti wa CCM Bara, Abdulrahman Kinana amesema viongozi wa...

Habari MchanganyikoTangulizi

Kimbunga Hidaya chatikisa Mafia

Spread the loveWAKATI hali ya upepo mkali ikiendelea kushuhudiwa katika baadhi ya...

Habari za SiasaTangulizi

Mbatia ambwaga Selasini, mahakama yaamuru alipwe fidia

Spread the loveMAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam, imemuamuru...

error: Content is protected !!