Saturday , 27 April 2024
Home Kitengo Habari Kimataifa NGO’s zapigwa ‘stop’ Burundi, kisa ushoga
Kimataifa

NGO’s zapigwa ‘stop’ Burundi, kisa ushoga

Spread the love

TAASISI na Mashirika yasiyo ya kiserikali nchini Burundi yamesitishwa kutoa huduma katika kipindi cha miezi mitatu kuanzia mwezi Oktoba hadi Disemba mwaka huu, yakituhumiwa kuchochea ushoga na vita. Anaripoti Regina Kelvin … (endelea).

Taarifa hiyo ilitolewa jana tarehe 28 Septemba 2018 na Jenerali Silas Ntingurigwa, Katibu Mkuu wa Baraza la Usalama la Kitaifa la Burundi.

Jenerali Ntingurigwa alisema kuwa, Serikali ya Burundi imepiga marufuku baadhi ya mashirika hayo kwa madai ya kukiuka sheria za nchi hiyo.

Naye Jean Claude Karerwa, Msemaji wa Rais wa Burundi, Pierre Nkurunzinza alisema hatua hiyo imechukuliwa baada ya mashirika hayo kubainika kuingiza tabia ambazo ni kinyume na mila ya nchi hiyo ikiwemo ushoga na kuchochea vita.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

KimataifaTangulizi

Mkuu wa majeshi Kenya afariki, Ruto atangaza maombolezo

Spread the loveRais wa Kenya, William Ruto ametangaza maombezo ya siku tatu...

Kimataifa

Majaji kuamua hatima ya Zuma leo

Spread the loveMajaji nchini Afrika Kusini leo Jumanne wataamua ikiwa rais wa...

Habari za SiasaKimataifa

Spika Afrika Kusini ajiuzulu kwa tuhuma za rushwa

Spread the loveSpika wa Bunge la Afrika Kusini, Nosiviwe Mapisa-Nqakula ametangaza kujiuzulu...

Habari MchanganyikoKimataifa

Tetemeko la ardhi laua 7, lajeruhi 800 Taiwan

Spread the loveWatu wapatao saba wamefariki dunia na wengine zaidi ya 800...

error: Content is protected !!