Thursday , 2 May 2024
Home Kitengo Michezo Simba watangaza viingilio vya ‘Simba Day’
Michezo

Simba watangaza viingilio vya ‘Simba Day’

Spread the love

MABINGWA wa Tanzania Bara Simba kupitia mkuu wa kitengo cha habari na mawasiliano wao Haji Manara wametangaza vingilio katika tamasha lao kubwa la kila mwaka ‘Simba Day’ ambalo litafanyika tarehe 8 Agosti, 2018 katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Anaripoti Kelvin Mwaipungu … (endelea).

Vingilio hivyo katika tamasha hilo vitakuwa Sh. 5,000 kwa mzunguko, Sh. 20,000 kwa VIP A na Sh 15,000 kwa upande wa VIP B.

Manara amesema wameweka vingilio vya bei ya chini kwa lengo la kutoa nafasi kwa mashabiki na wapenzi wa klabu hiyo waweze kupata fursa ya kuja kwa wingi kuisapoti timu yao.

Simba ambao kwa sasa wameweka kambi nchini Uturuki wanatarajia kucheza na klabu ya Asante Kotoko ambao ni mabingwa wa Ligi Kuu nchini Ghana.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

Europa na Conference kukupatia pesa ndefu leo

Spread the love  ALHAMISI ya leo tutaenda kushuhudia mitanange ya kukata na...

Habari MchanganyikoMichezo

Wanamichezo Mei Mosi wachangia wahitaji vitu vya mil. 11.5

Spread the loveWanamichezo wanaoshiriki Michezo ya Mei Mosi Taifa 2024 jijini Arusha...

Michezo

Usiku wa Ulaya umerejea kibabe kabisa

Spread the love  LIGI ya Mabingwa barani Ulaya imerejea tena na awamu...

Habari MchanganyikoMichezo

Mambo ya Ndani, Ulinzi zang’ara michezo ya Mei Mosi Arusha

Spread the loveRais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi nchini (TUCTA), Tumaini...

error: Content is protected !!