Friday , 19 April 2024
Home Kitengo Michezo Simba watangaza viingilio vya ‘Simba Day’
Michezo

Simba watangaza viingilio vya ‘Simba Day’

Spread the love

MABINGWA wa Tanzania Bara Simba kupitia mkuu wa kitengo cha habari na mawasiliano wao Haji Manara wametangaza vingilio katika tamasha lao kubwa la kila mwaka ‘Simba Day’ ambalo litafanyika tarehe 8 Agosti, 2018 katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Anaripoti Kelvin Mwaipungu … (endelea).

Vingilio hivyo katika tamasha hilo vitakuwa Sh. 5,000 kwa mzunguko, Sh. 20,000 kwa VIP A na Sh 15,000 kwa upande wa VIP B.

Manara amesema wameweka vingilio vya bei ya chini kwa lengo la kutoa nafasi kwa mashabiki na wapenzi wa klabu hiyo waweze kupata fursa ya kuja kwa wingi kuisapoti timu yao.

Simba ambao kwa sasa wameweka kambi nchini Uturuki wanatarajia kucheza na klabu ya Asante Kotoko ambao ni mabingwa wa Ligi Kuu nchini Ghana.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

Tusua mkwanja na mechi za Ijumaa leo

Spread the love  LEO hii mechi zinaendelea kote na wewe kama unataka...

Michezo

Piga pesa na mechi za EUROPA leo hii

Spread the love Hatimaye Alhamisi ya EUROPA imefika ambapo leo hii mechi...

Michezo

Leo ni leo nani kutinga nusu fainali UEFA?

Spread the love HATIMAYE Jumanne ya UEFA imefika ambapo leo hii michezo...

Michezo

Anza Jumatatu yako na Meridianbet

Spread the love  IKIWA ni siku nyingine mpya kabisa ya Jumatatu baadhi...

error: Content is protected !!