Friday , 3 May 2024
Home Kitengo Habari Kimataifa Biashara za Saudia, Emirates, Bahrain, Misri zazuiwa Qatar
Kimataifa

Biashara za Saudia, Emirates, Bahrain, Misri zazuiwa Qatar

Spread the love

MGOGORO wa Qatar na mataifa jirani unazidi kukua na sasa taifa hilo (Qatar) limezuia kuingizwa biashara kutoka Saudi Arabia, Emirates, Bahrain na Misri. Anaandika Faki Sosi … (endelea).

Sheikh Ahmed Jassem bin Mohammed Al Thani ambaye ni Waziri wa Uchumi na Biashara wa Qatar ameagiza sekta zote nchini humo kuacha kuagiza na kununua bidhaa yoyote inayotoka miongoni mwa nchi hizo.

Waziri huyo amesema kuwa, serikali itaendesha msako ili kujiridhisha kama agizo hilo limetekelezwa sana na namna lilivyokusudiwa na kwamba, atakayebainika kukiuka, hatua kali zitachukuliwa dhidi yake.

Serikali ya Qatar imeeleza kushinda vikwazo vya awali vilivyowekwa Bahrain, Saudia, Emirates na Misri.

Juni mwaka jana Bahrain, Saudi, Bahrain, Emirates na Misriziliitenga Qatar kwa madai kusaidia ugaidi jambo lililoenda sambamba na kufunga mipaka yao.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaKimataifa

Mwanamke Rwanda ataka kupambana tena na Kagame

Spread the loveKIONGOZI wa kihistoria wa upinzani nchini Rwanda, Victoire Ingabire Umuhoza,...

Habari MchanganyikoKimataifa

Ruto amteua Kahariri kuwa mkuu wa majeshi

Spread the loveRAIS wa Kenya, William Ruto, amemteua Jenerali Charles Muriu Kahariri,...

Habari za SiasaKimataifaTangulizi

Tanzania, Somalia kuibua maeneo mapya ya ushirikiano

Spread the love  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema Tanzania na Somalia...

KimataifaTangulizi

Mkuu wa majeshi Kenya afariki, Ruto atangaza maombolezo

Spread the loveRais wa Kenya, William Ruto ametangaza maombezo ya siku tatu...

error: Content is protected !!