Saturday , 27 April 2024
Home Kitengo Maisha Elimu Wazazi Azania sekondari watupiwa neno
Elimu

Wazazi Azania sekondari watupiwa neno

Wanafunzi wa shule ya sekondari ya Azania
Spread the love

WAZAZI wa shule ya sekondari Azania wanaombwa kuchangia fedha kwa ajili ya kununua viti vya kukalia wanafunzi wanapokuwa darasani, anaandika Angel Willium.

Akizungumza na wazazi hao Mkuu wa shule hiyo, Erasto Guimili katika mahafalii ya kidato cha nne leo jijini Dar es salaam amesema wazazi wanatakiwa kutoa kipaumbele katika kuchangia viti vya kwa ajili ya watoto wao.

Amewataka wazazi ho kuhudhuria mikutano ya shule ili kujua maendeleo ya watoto wao.

Aidha, Ofisa elimu wa kata ya Upanga Mangaribi, Emaculath Ngule amewaomba wadau mbalimbali kujitotekeza kuchangia shule hiyo kwani vilivypo vimechakaa.

Leo shule hiyo leo imeadhimisha mahafali ya 81 tangu kuazishwa kwake na kwa sasa ina jumla ya wanafunzi 1436.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

ElimuHabari za Siasa

MbungeCCM ataka kasi uzalishaji walimu ipunguzwe akidai hakuna ajira

Spread the love  MBUNGE wa Mlalo (CCM), Rashid Shangazi, ameishauri Serikali ipunguze...

ElimuHabari za Siasa

Walimu 52,551 kupandishwa madaraja mwaka huu

Spread the loveNaibu Waziri wa nchi, Ofisi ya Rais (Utumishi na Utawala...

BiasharaElimu

NMB yatoa vifaa vya ujenzi kwa shule sita Nyasa  

Spread the loveBENKI ya NMB imetoa msaada wa vifaa mbalimbali vya ujenzi...

ElimuHabari Mchanganyiko

GGML yawapa mbinu wanafunzi Geita Boys kufikia malengo ya kitaaluma

Spread the loveKampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) imetoa mafunzo maalumu...

error: Content is protected !!