Saturday , 25 March 2023
Home Kitengo Maisha Elimu Wazazi Azania sekondari watupiwa neno
Elimu

Wazazi Azania sekondari watupiwa neno

Wanafunzi wa shule ya sekondari ya Azania
Spread the love

WAZAZI wa shule ya sekondari Azania wanaombwa kuchangia fedha kwa ajili ya kununua viti vya kukalia wanafunzi wanapokuwa darasani, anaandika Angel Willium.

Akizungumza na wazazi hao Mkuu wa shule hiyo, Erasto Guimili katika mahafalii ya kidato cha nne leo jijini Dar es salaam amesema wazazi wanatakiwa kutoa kipaumbele katika kuchangia viti vya kwa ajili ya watoto wao.

Amewataka wazazi ho kuhudhuria mikutano ya shule ili kujua maendeleo ya watoto wao.

Aidha, Ofisa elimu wa kata ya Upanga Mangaribi, Emaculath Ngule amewaomba wadau mbalimbali kujitotekeza kuchangia shule hiyo kwani vilivypo vimechakaa.

Leo shule hiyo leo imeadhimisha mahafali ya 81 tangu kuazishwa kwake na kwa sasa ina jumla ya wanafunzi 1436.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Elimu

Mfuko wa Jimbo Musoma Vijijini wamwaga mamilioni ujenzi maabara za sekondari

Spread the love  MFUKO wa Jimbo la Musoma Vijijini, Mkoa wa Mara,...

ElimuHabari

CBE yaanzisha Shahada 10 za Uzamili, CBE yajivunia wahitimu wanaoajirika

Spread the loveCHUO cha Elimu ya Biashara (CBE), kimewataka wenye  kampuni na...

Elimu

Harambee ujenzi sekondari za Musoma Vijijini yashika kasi

Spread the love  HARAMBEE ya ujenzi na ukarabati wa shule za sekondari...

Elimu

Shule ya Alpha yazindua mfumo wa kugundua vipaji vya watoto

Spread the love  SHULE ya Sekondari ya Alpha ya jijini Dar es...

error: Content is protected !!