Friday , 3 May 2024
Home Kitengo Habari Kimataifa Wakimbizi wa Burundi waanza kurejea kwao
Kimataifa

Wakimbizi wa Burundi waanza kurejea kwao

Spread the love

AWAMU ya kwanza ya wakimbizi wa kutoka Burundi wanaorejea kwa hiari yao kutoka Tanzania wanatarajiwa kuwasili nchini mwao hii leo, anaandika Jovina Patrick.

Hatua hiyo imefikiwa baada ya makubaliano wiki iliyopita kati ya Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi (UNHCR), Tanzania na Burundi.

Abel Mbilinyi, Mwakilishi Mkazi wa UNHCR nchini Burundi amethibitisha kurejea kwa wakimbizi 300 nchini humo.

Wakimbizi hao wanafuikia katika vinne vilivyo katika maeneo ya mashariki na kusini mwa Burundi pamoja na mji mkuu Bujumbura.

Inakadiriwa kwamba hadi kufikiab mwisho wa mwaka huu, wakimbizi 12,000 wa Burundi wanaoishi Tanzania watakuwa wamerejea kwao.

Kuna wakimbizi takribani 250,000 wa Burundi katika kambi mbali mbali hapa nchini.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaKimataifa

Mwanamke Rwanda ataka kupambana tena na Kagame

Spread the loveKIONGOZI wa kihistoria wa upinzani nchini Rwanda, Victoire Ingabire Umuhoza,...

Habari MchanganyikoKimataifa

Ruto amteua Kahariri kuwa mkuu wa majeshi

Spread the loveRAIS wa Kenya, William Ruto, amemteua Jenerali Charles Muriu Kahariri,...

Habari za SiasaKimataifaTangulizi

Tanzania, Somalia kuibua maeneo mapya ya ushirikiano

Spread the love  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema Tanzania na Somalia...

KimataifaTangulizi

Mkuu wa majeshi Kenya afariki, Ruto atangaza maombolezo

Spread the loveRais wa Kenya, William Ruto ametangaza maombezo ya siku tatu...

error: Content is protected !!