Thursday , 2 May 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Lissu amnasua Wema Sepetu mahakamani
Habari za Siasa

Lissu amnasua Wema Sepetu mahakamani

Tundu Lissu, Mwanasheria Mkuu wa Chadema akifurahia jambo na Wema Sepetu
Spread the love

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imekataa vielelezo vya ushahidi vya msokoto wa bangi katika kesi ya matumizi madawa ya kulevya inayomkabili muugizaji wa filamu nchini, anaandika Faki Sosi.

Hakimu Mkazi wa Mahakama hiyo, Thomas Simba leo ametoa uamuzi huo kutokana na pingamizi la kielelezo cha msokoto wa bangi lilowekwa na wakili wa Wema, Tundu Lissu kilicholetwa mahakamani hapo.

Lissu alipinga kuwa msokoto huo uliofikishwa mahakamani hapo una mashaka na kwamba siyo bangi.
Kesi hii itaendelea Septemba 12 mwaka huu.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Chadema waendelea kulilia katiba mpya

Spread the loveCHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeendelea kudai upatikanaji wa...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema kumshtaki Rais Samia

Spread the loveCHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimetishia kumfungulia kesi ya...

Habari za Siasa

Tume huru ya uchaguzi yatangaza uchaguzi mdogo Jimbo la Kwahani

Spread the love  TUME Huru ya Taifa ya Uchaguzi, imetangaza uchaguzi mdogo...

AfyaHabari za Siasa

Dk. Biteko aagiza utoaji huduma saratani usiwe wa kibaguzi

Spread the loveNaibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko...

error: Content is protected !!