Wednesday , 29 March 2023
Home Gazeti Habari za Siasa Lissu amnasua Wema Sepetu mahakamani
Habari za Siasa

Lissu amnasua Wema Sepetu mahakamani

Tundu Lissu, Mwanasheria Mkuu wa Chadema akifurahia jambo na Wema Sepetu
Spread the love

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imekataa vielelezo vya ushahidi vya msokoto wa bangi katika kesi ya matumizi madawa ya kulevya inayomkabili muugizaji wa filamu nchini, anaandika Faki Sosi.

Hakimu Mkazi wa Mahakama hiyo, Thomas Simba leo ametoa uamuzi huo kutokana na pingamizi la kielelezo cha msokoto wa bangi lilowekwa na wakili wa Wema, Tundu Lissu kilicholetwa mahakamani hapo.

Lissu alipinga kuwa msokoto huo uliofikishwa mahakamani hapo una mashaka na kwamba siyo bangi.
Kesi hii itaendelea Septemba 12 mwaka huu.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

DC Kasilda Mgeni ahamasisha chakula shuleni

Spread the love  MKUU wa Wilaya ya Same, mkoani Kilimanjaro, Kasilda Mgeni...

Habari za Siasa

Bilioni 223.9 zapelekwa Tunduru ndani ya miaka 2 ya SSH

Spread the love  ZAIDI ya Sh. bilioni 223.9 zimepelekwa Wilaya ya Tunduru...

Habari za Siasa

Rais Samia aagiza iundwe kamati ya pamoja ya Mawaziri mradi wa BBT

Spread the love  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amewaagiza mawaziri kuunda kamati...

Habari za Siasa

Rais Samia apangua makatibu tawala mikoa, ateua Kamishna DCEA

Spread the loveALIYEKUWA Kamishna wa Mamlaka ya Kudhibiti Dawa za Kulevya, Gerald...

error: Content is protected !!