Friday , 19 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Lissu amnasua Wema Sepetu mahakamani
Habari za Siasa

Lissu amnasua Wema Sepetu mahakamani

Tundu Lissu, Mwanasheria Mkuu wa Chadema akifurahia jambo na Wema Sepetu
Spread the love

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imekataa vielelezo vya ushahidi vya msokoto wa bangi katika kesi ya matumizi madawa ya kulevya inayomkabili muugizaji wa filamu nchini, anaandika Faki Sosi.

Hakimu Mkazi wa Mahakama hiyo, Thomas Simba leo ametoa uamuzi huo kutokana na pingamizi la kielelezo cha msokoto wa bangi lilowekwa na wakili wa Wema, Tundu Lissu kilicholetwa mahakamani hapo.

Lissu alipinga kuwa msokoto huo uliofikishwa mahakamani hapo una mashaka na kwamba siyo bangi.
Kesi hii itaendelea Septemba 12 mwaka huu.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Wabunge waikalia kooni TAKUKURU Bungeni

Spread the love  BAADHI ya wabunge wamelia na changamoto za utendaji wa...

Habari za SiasaTangulizi

Mpina ataka Waziri Majaliwa ajiuzulu, akosoa teuzi za mawaziri

Spread the love  MBUNGE wa Kisesa, Luhaga Mpina, amemtaka Waziri Mkuu, Kassim...

Habari za Siasa

CCM yakemea ufisadi, yaipa kibarua TAKUKURU

Spread the love  CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimekemea vitendo vya ubadhirifu wa...

Habari za Siasa

Bajeti ya Ikulu 2024/25 kuongezeka, bunge laombwa kurudhia Sh. 1.1 trilioni

Spread the love  WIZARA ya Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa...

error: Content is protected !!