Wednesday , 8 May 2024
Home Kitengo Habari Kimataifa Marekani kushambuliwa na makombora
Kimataifa

Marekani kushambuliwa na makombora

Mifano ya makombora ya Scud yanayomilikiwa na Korea Kaskazini
Spread the love

NCHI ya Korea Kaskazini inapanga kurusha makombora karibu na kisiwa kimoja nchini Marekani Korea imesema kwamba inatafakari uwezekano wa kurusha makombora karibu na jimbo la Marekani la Guam katika bahari ya Pasifiki, anaandika Hellen Sisya.

Kauli ya nchi hiyo inakuja muda mchache baada ya Rais Donald Trump wa Marekani kuitishia Pyongyang kwamba itakabaliwa na “ghadhabu.”

Shirika la habari la Korea Kaskazini limesema taifa hilo linatafakari mpango wa kurusha makombora ya masafa ya kati ya umbali karibu na Guam, eneo ambalo Marekani huwa na ndege zake za kuangusha mabomu.

Taarifa hiyo inaashiria kuongezeka kwa uhasama kati ya nchi hizo mbili na kivi karibuni Umoja wa Mataifa UN, uliidhinisha vikwazo zaidi vya kiuchumi dhidi ya taifa hilo.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaKimataifa

Israel yatia shubiri Gaza wakisherehekea Hamas kusitisha mapigano

Spread the loveWAKATI kundi la Hamas huko Gaza likitangaza kuridhia pendekezo lao...

KimataifaMakala & Uchambuzi

Mbivu, mbichi urais wa Ramaphosa mwezi huu

Spread the loveMWISHONI mwa mwezi huu, raia wa Afrika Kusini watapiga kura...

Habari za SiasaKimataifa

Mwanamke Rwanda ataka kupambana tena na Kagame

Spread the loveKIONGOZI wa kihistoria wa upinzani nchini Rwanda, Victoire Ingabire Umuhoza,...

Habari MchanganyikoKimataifa

Ruto amteua Kahariri kuwa mkuu wa majeshi

Spread the loveRAIS wa Kenya, William Ruto, amemteua Jenerali Charles Muriu Kahariri,...

error: Content is protected !!