Saturday , 11 May 2024
Home Gazeti Habari za Siasa RC K’njaro ataka ‘spidi’ ujenzi wa madarasa
Habari za Siasa

RC K’njaro ataka ‘spidi’ ujenzi wa madarasa

Anna Mghwira, Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro
Spread the love

ANNA Mghwira, Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro ameagiza watendaji na wakurugenzi wa mkoa huo kuhakikisha wanakamilisha ujenzi wa madarasa mapema ili wanafunzi waliochaguliwa kuanza Kidato cha Kwanza, wasikose nafasi. Anaripoti Mwandishi Wetu, Kilimanjaro…(endelea).

Ametoa kauli hiyo kwenye kikao maalum cha kujadili changamoto ya uhaba wa madarasa na kwamba, katika wilaya za Hai, Moshi Vijijini, Siha na Same wanakabiliwa na uhaba wa madarasa yapatayo 60.

“Wanafunzi 2,900 hawataweza kuendelea na masomo ya Kidato cha Kwanza ambapo Hai wataishindwa kuendelea ni 890, Moshi Vijijini 350, Same 1,414 na Siha 305,” amesema Mghwira.

Pia amemtaka Ofisa Elimu wa Mkoa, Paulina Mkwama kuhakikisha anarekebisha Ikama ya Walimu katika baadhi ya wilaya kutoka na upungufu mkubwa wa walimu unaokabili mkoa huo.

1 Comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Vijana UVCCM Kagera wataka mwenyekiti wao ajiuzulu

Spread the loveVIJANA wa Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Kagera wamemtaka Mwenyekiti...

Habari za SiasaTangulizi

Mpina awavaa mawaziri wanaompelekea majungu Rais Samia

Spread the loveMBUNGE wa Kisesa, Luhaga Mpina (CCM) amewataka baadhi ya mawaziri...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

THRDC, Wizara ya Katiba wajadili uanzishaji haki binadamu katika biashara

Spread the loveMTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), umefanya...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Sitta ang’ang’ana wanafunzi watibiwe bure, Serikali yagoma

Spread the loveMBUNGE wa Urambo, Margaret Sitta, ameishauri Serikali iweke utaratibu wanafunzi...

error: Content is protected !!