Wednesday , 8 May 2024

Day: April 12, 2019

Habari za SiasaTangulizi

Ripoti ya CAG yawaweka njia panda wabunge wa CCM

BAADHI ya wabunge wa Chama cha Mapinduzi wamedai wapo njia panda, kwani hawajajua kama watachangia ripoti ya Mthibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu...

Habari Mchanganyiko

Polisi watunukiwa zawadi, wajane wakumbukwa

JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limetoa motisha kwa askari wake waliofanya vizuri kwenye majukumu yao ya kulinda wananchi na...

Habari Mchanganyiko

Papa Francis ambusu miguu Salvar Kiir, ataka aache mapigano

KIONGOZI wa Kanisa Katoliki Duniani, Papa Francis amempigia magoti Rais wa Sudani Kusini, Salvar Kiir akimsihi kiongozi huyo kuachana na mapigano katika taifa...

Habari za SiasaTangulizi

ACT-Wazalendo yataja mmiliki wa kadi No. 1 kabla ya Maalim Seif

CHAMA cha ACT-Wazalendo kimeeleza kwamba, Maalim Seif Shariff Hamad amepewa kadi namba moja ili kumsahau aliyekuwa mmiliki wa kadi hiyo, Wakili Albert Msando....

Habari za Siasa

Rais Magufuli: Kupata maendeleo lazima nguvu itumike

RAIS John Magufuli amesema, ili maendeleo yapatikane wakati mwingine lazima nguvu itumike. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea). Rais Magufuli ametoa kauli hiyo tarehe...

Elimu

Serikali yaomba wadau kukarabati nyumba za walimu

NAIBU Waziri wa Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Mwita Waitara ametoa wito kwa wananchi na wadau wa maendeleo kushirikiana na serikali katika kukarabati nyumba za...

error: Content is protected !!