MTANDAO wa Wanafunzi Tanzania (TSNP) umetoa shukrani kwa Tume ya Vyuo Vikuu (TCU) kwa kukubali ushauri wao wa utaratibu mpya wa wanafunzi wa...
By Masalu ErastoAugust 14, 2018KAMPUNI ya Star Media (T) Ltd inayomiliki king’amuzi cha StarTimes imesalimu amri kwa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA). Anaripoti Faki Sosi … (endelea)....
By Faki SosiAugust 14, 2018WaAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi amesema kwamba kuanzia sasa vibali vya ujenzi vitakuwa vinatolewa kila wiki na vitakuwa...
By Mwandishi WetuAugust 14, 2018DK.Harrison Mwakyembe, Waziri wa Habari, Sanaa Utamaduni na Michezo, amesema kuwa uamuzi wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kuzitaka kampuni zinazomiliki Zuku, DSTV...
By Masalu ErastoAugust 14, 2018KAMATI Kuu Maalum ya Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM imeteuwa wagombea watatu watakaokiwakilisha chama hicho katika uchaguzi mdogo wa ubunge. Anaripoti...
By Regina MkondeAugust 14, 2018EDWIN Van Der Sar, mlinda mlango wa zamani wa Manchester United ni moja kati ya majina matatu yaliotajwa kuja kukalia kiti cha Mkurugenzi...
By Masalu ErastoAugust 14, 2018NENO LA SHUKRANI Na Elia F Michael Kwanza kabisa napenda kutoa shukrani zangu kwa chama wilaya ya Kakonko na Chama Taifa kuniona kama...
By Mwandishi WetuAugust 14, 2018MSHAMBULIAJI wa Liverpool na timu ya taifa ya Misri, Mohammed Salah ameingia matatizoni na polisi wa Merseyside baada ya kuibuka kwa video mitandaoni...
By Kelvin MwaipunguAugust 14, 2018TUME ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) imetangaza kuwa na mfumo mpya wa kielektroniki utakomwezesha mwanafunzi kuthibitisha chuo anachokwenda kusoma baada ya kuchaguliwa na...
By Masalu ErastoAugust 14, 2018HALI ya Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk. Hamis Kigwangalla inazidi kuimarika ambapo kwa mara ya kwanza tangu alazwe katika Hospitali ya Taifa...
By Regina MkondeAugust 14, 2018DEREVA wa Mbunge wa Jimbo la Kyaddondo Mashariki nchini Uganda, Robert Kyagulanyi Bobi Wine, Yasin Kawuma amefariki baada ya kupigwa risasi na watu...
By Mwandishi WetuAugust 14, 2018CHAMA cha Demorasia na Maendeleo (Chadema), mkoani Mara, kimepanga kwenda mahakamani kupinga ushindi wa mgombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), katika uchaguzi mdogo...
By Regina MkondeAugust 14, 2018MUDA wowote kuanzia sasa, wateja wanaotumia king’amuzi cha Star Times watashindwa kupata matangazo yanayopitia king’amuzi hiko kutokana na kugoma kutii sheria kama inavyoelekezwa...
By Faki SosiAugust 14, 2018