Friday , 29 September 2023
Home Gazeti Habari za Siasa CCM wawarudisha Waitara, Kalanga
Habari za Siasa

CCM wawarudisha Waitara, Kalanga

Mwita Waitara, Naibu wa Waziri wa TAMISEMI
Spread the love

KAMATI Kuu Maalum ya Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM imeteuwa wagombea watatu watakaokiwakilisha chama hicho katika uchaguzi mdogo wa ubunge. Anaripoti Regina Kelvin … (endelea).

Kamati hiyo iliyoketi leo tarehe 14 Agosti, 2018 jijini Dar es Salaam na kuongozwa na Mwenyekiti wa CCM Taifa, Dk. John Magufuli, imemteuwa Julius Kalanga aliyekuwa Mbunge wa Monduli kupitia Chadema, kugombea tena kwenye jimbo hilo.

Pia, imemteua Mwita Waitara aliyekuwa Mbunge wa Ukonga kupitia Chadema, kugombea tena kwenye jimbo hilo kupitia CCM. Vilevile, imemteua Timotheo Mzava kugombea katika jimbo la Korogwe Vijijini.

Waitara na Kalanga hivi karibuni walijivua uanachama wa Chadema pamoja na ubunge na kuhamia CCM, chama hicho kimewapitisha tena kugombea kwenye majimbo yao.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Kapinga: Usambazaji umeme vijijini mwisho Desemba 2023

Spread the love  NAIBU Waziri wa Nishati, Judith Kapinga, amesema ifikapo mwezi...

Habari za Siasa

Mgongano wa kimasilahi wamhamisha Chande TTCL

Spread the love  ALIYEKUWA Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO),...

Habari za SiasaTangulizi

Mgawo wa umeme: Rais Samia ampa miezi sita bosi mpya TANESCO

Spread the love  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amempa miezi sita Mkurugenzi...

Habari za Siasa

Rais Samia avunja bodi ya REA

Spread the loveRAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amemteua Balozi Jacob Kingu, kuwa...

error: Content is protected !!