ℹ️ We have been made aware of a video believed to show a footballer using a mobile phone whilst driving. This has been passed to the relevant department. Thanks for letting us know 👍
— Merseyside Police Contact Centre (@MerPolCC) August 13, 2018
MSHAMBULIAJI wa Liverpool na timu ya taifa ya Misri, Mohammed Salah ameingia matatizoni na polisi wa Merseyside baada ya kuibuka kwa video mitandaoni akionekana kuendesha gari huku akiwa anatumia simu yake ya mkononi. Anaripoti Kelvin Mwaipungu … (endelea).
Polisi jijini Liverpool wamethibitisha tukio hilo kupitia ukurasa wao unaopatikana kwenye mtandao wa twitter na kusema kwamba video hiyo imekabidhiwa kwenye kitengo husika.
ℹ️ We have been made aware of a video believed to show a footballer using a mobile phone whilst driving. This has been passed to the relevant department. Thanks for letting us know 👍
— Merseyside Police Contact Centre (@MerPolCC) August 13, 2018
Video hiyo ambayo ilisambaa kwenye mitandao ya kijamii ikimuonesha mchezaji huyo akiwa anatumia simu yake huku akiwa amesimamisha gari lake kwa muda baada ya kuzingirwa na mashabiki wakiwemo watoto, kisha akaamua kuondoa gari akiwa bado anatumia simu yake.
Hata hivyo uongozi wa klabu ya Liverpool ulitoa taarifa ya kuwa imewafahamisha polisi wa Merseyside kuhusu video hiyo baada ya kushauriana na mchezaji mwenyewe na kujua nini kilitokea wakati tukio hilo linafanyika.
Spread the love LEO ligi kadhaa zitaendelea nchini barani ulaya ikiwemo ligi...
By Mwandishi WetuApril 24, 2024Spread the loveKuelekea Maadhimisho ya siku ya malaria Duniani yatakayofanyika kesho Aprili...
By Mwandishi WetuApril 24, 2024Spread the love Leo kutakua na mchezo mkali sana pale kwenye ligi...
By Mwandishi WetuApril 23, 2024Spread the loveBenki ya Taifa ya Biashara (NBC) ambayo ni mdhamini Mkuu...
By Mwandishi WetuApril 22, 2024
Leave a comment