Saturday , 27 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Afya ya Dk. Kigwangalla yaimarika
Habari za Siasa

Afya ya Dk. Kigwangalla yaimarika

Dk. Hamisi Kigwangalla, Waziri wa Maliasili na Utalii (kulia) akizungimza na Naibu wake, Japhet Hasunga
Spread the love

HALI ya Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk. Hamis Kigwangalla inazidi kuimarika ambapo kwa mara ya kwanza tangu alazwe katika Hospitali ya Taifa Muhimbili, amefanya mazoezi ya kupanda ngazi kwa miguu kutoka ghorofa ya kwanza hadi ya sita. Anaripoti Regina Kelvin … (endelea).

Waziri Kigwangalla alilazwa Muhimbili baada ya kupata ajali tarehe 4 Agosti mwaka huu, maeneo ya Magugu mkoani Manyara akiwa njiani akitokea Arusha kuelekea Dodoma.

Akizungumza na Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Japhet Hasunga aliyemtembelea hospitalini hap oleo tarehe 14 Agosti, 2018, Dk. Kigwangalla amesema hali yake inazidi kuimarika.

Awali, tarehe 12 Agosti mwaka huu, Dk. Kigwangalla alifanyiwa operesheni ya mkono na madaktari wa Muhimbili ambapo ilimalizika salama na sasa anaendelea vizuri.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

ACT: Waongoza watalii wapate maslahi yao inavyostahili

Spread the loveCHAMA cha ACT-Wazalendo kimeitaka serikali kuhakikisha inasimamia maslahi stahiki ya...

Habari za SiasaTangulizi

Prof. Lipumba ajitosa kuviunganisha vyama vya siasa Burundi

Spread the love  MWENYEKITI wa Kituo Cha Demokrasia Tanzania (TCD), Prof. Ibrahim...

Habari za Siasa

Prof. Muhongo akomalia matumizi nishati jadidifu kuondoa uhaba wa umeme

Spread the love  MBUNGE wa Musoma Vijijini (CCM), Profesa Sospeter Muhongo, ameendelea...

Habari za Siasa

Kilosa yawa mfano wa kuigwa miradi ya Mwenge nchini

Spread the love  KIONGOZI wa Mbio za Mwenge Kitaifa Godfrey Mzava amezitaka...

error: Content is protected !!