Mshindi wa shindano la maokoto kutoka Manispaa ya Moshi Mkoani Kilimanjaro linaloendeshwa kupitia vizibo vya vinywaji vya Kampuni ya Bia ya Serengeti Breweries Ltd (SBL), Evodious Wilbard (kushoto) akipokea hundi ya mfano ya Sh 500,000 kutoka kwa Christian John Kakunguru ambaye ni Mwakilishi wa mauzo ya kampuni ya SBL Moshi Mjini, hafla ya kukabidhi zawadi hiyo ilifanyika katika Bar ya Hugos Garden iliyopo Manispaa ya Moshi
Leave a comment