Friday , 26 April 2024
Home Kitengo Habari Kimataifa Milioni 10 wapona corona duniani 
Kimataifa

Milioni 10 wapona corona duniani 

Spread the love

WAGONJWA milioni 10.7 wamepona ugonjwa unaosababishwa na virusi vya corona (COVID-19) duniani. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea).

Kwa mujibu wa mtandao wa worldometer, unaonyesha hadi leo Alhamisi 30 Julai 2020 unaonyesha, walioambukizwa ni milioni 17.1 na waliofariki ni 670,322.

Marekani inaongoza kwa kuwa na wagonjwa wengi wa COVID-19 ikiwa na maambukiozo milioni 4.5, waliopona milioni 2.2 na waliofariki ni 153,845.

Brazil inafuatia ikiwa na maambukizo milioni 2.5, waliopona milioni 1.51.7 na wagonjwa waliofariki ni 90,188.

China ambako corona ilianzia mwishoni mwa mwaka 2019, ina maambukizo 84,165 ambapo vifo ni 4,634 na waliopona 78,957.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

KimataifaTangulizi

Mkuu wa majeshi Kenya afariki, Ruto atangaza maombolezo

Spread the loveRais wa Kenya, William Ruto ametangaza maombezo ya siku tatu...

Kimataifa

Majaji kuamua hatima ya Zuma leo

Spread the loveMajaji nchini Afrika Kusini leo Jumanne wataamua ikiwa rais wa...

Habari za SiasaKimataifa

Spika Afrika Kusini ajiuzulu kwa tuhuma za rushwa

Spread the loveSpika wa Bunge la Afrika Kusini, Nosiviwe Mapisa-Nqakula ametangaza kujiuzulu...

Habari MchanganyikoKimataifa

Tetemeko la ardhi laua 7, lajeruhi 800 Taiwan

Spread the loveWatu wapatao saba wamefariki dunia na wengine zaidi ya 800...

error: Content is protected !!