Thursday , 2 May 2024
Home Kitengo Michezo Ligi Kuu England imerejea na maokoto yake ndani ya Meridianbet
Michezo

Ligi Kuu England imerejea na maokoto yake ndani ya Meridianbet

Spread the love

 

LIGI kuu ya Uingereza maarufu kama EPL leo itaendelea katikwa viwanja mbalimbali ambapo michezo kadhaa itapigwa ikiwa itatoa nafasi ya kuweza kushinda mkwanja katika michezo hiyo itakayopigwa leo Jumamosi.

Msimu huu wa wa sikukuu kampuni ya Meridianbet wanahakikisha wateja wake wanafurahi, Hivo michezo mbalimbali ambayo inapigwa kipindi hichi inapewa ODDS KUBWA na za kibabe ili kurahisisha mchongo wa kujipigia maokoto.

Pia kumbuka kuna kucheza JACKPOT ya Meridianbet ambayo inakufanya ushinde shilingi Milioni Mia Mbili, 200,000,000 kwa dau lako la shilingi 1000 pekee ukibashiri kwa usahihi mechi zako 13. Nafasi ni yako ingia www.meridianbet.co.tz na uweke mkeka wako.

Manchester United baada ya kupindua meza kibabe katika mchezo uliopita dhidi ya klabu ya Aston Villa, Leo watashuka dimbani tena kwenda kukipiga dhidi ya klabu ya Nottingham Forest ambao nao wapo kwenye fomu ya hali ya juu kwasasa.

Klabu ya Chelsea ambayo imetoka kushinda mchezo wake uliopita leo watakua ugenini kukipiga na klabu ya Luton Town ambao wameonekana kufufuka na kufanya vizuri hivi karibuni, Hivo mchezo huu unatarajiwa kua mkali na wenye mvuto mkubwa.

Manchester City leo watakua nyumbani kukipiga dhidi ya klabu ya Sheffield United baada ya kufanikiwa kupata ushindi katika mchezo uliopita dhidi ya Everton ikiwa ni baada ya kupitia kipindi kigumu kidogo katika ligi kuu ya Uingereza leo watakua pale Etihad kuzisaka alama zingine tatu dhidi ya Sheffield.

Aston Villa wakiwa wmaetoka kupoteza mchezo wao uliopita dhidi ya Manchester United katika dimba la Old Trafford, Leo watakua nyumbani katika dimba lao la Villa Park kuikaribisha klabu ya Burnley na kuangalia uwezekano wa kurudi kwenye njia ya ushindi.

Klabu ya Wolves wakiwa wametoka kutoa adhabu kali kwa klabu ya Brentford katika mchezo wao uliopita, Leo watakua nyumbani katika dimba la Molineux kukipiga na Everton ambayo imetoka kujeruhiwa mchezo uliopita.

Michezo yote ambayo inakwenda kupigwa leo katika ligi kuu ya Uingereza leo Meridianbet wamehakikisha inawekewa ODDS KUBWA ili wateja wake waweze kujipigia mkwanja katika msimu huu wa sikukuu.

Pia kumbuka kuna kucheza JACKPOT ya Meridianbet ambayo inakufanya ushinde shilingi Milioni Mia Mbili, 200,000,000 kwa dau lako la shilingi 1000 pekee ukibashiri kwa usahihi mechi zako 13. Nafasi ni yako ingia www.meridianbet.co.tz na uweke mkeka wako.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

Europa na Conference kukupatia pesa ndefu leo

Spread the love  ALHAMISI ya leo tutaenda kushuhudia mitanange ya kukata na...

Habari MchanganyikoMichezo

Wanamichezo Mei Mosi wachangia wahitaji vitu vya mil. 11.5

Spread the loveWanamichezo wanaoshiriki Michezo ya Mei Mosi Taifa 2024 jijini Arusha...

Michezo

Usiku wa Ulaya umerejea kibabe kabisa

Spread the love  LIGI ya Mabingwa barani Ulaya imerejea tena na awamu...

Habari MchanganyikoMichezo

Mambo ya Ndani, Ulinzi zang’ara michezo ya Mei Mosi Arusha

Spread the loveRais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi nchini (TUCTA), Tumaini...

error: Content is protected !!