ALHAMISI ya leo itakua ya neema kwa wateja wa Meridianbetkwani michezo ya Uefa Conference league itakwendakupigwa ambayo itakuwezesha wewe mteja lupiga mkwanjawa kutosha kupitia michezo hiyo.
Meridianbet wanaendelea na utaratibu wao wa kumwaga ODDS KUBWA katika michezo ambayo inapigwa katika siku husika, Ikiwemo katika michezo ya leo Alhamisi michuano ya UefaConference League.
Klabu ya Ajax leo itashuka dimbani wakiwa katika dimba lao la Johan Cruyff wakiwakaribisha klabu ya Bodo Glimt kutokanchini Norway katika mchezo mkali wa michuano ya UefaConference League.
Klabu ya Real Betis ya nchini Hispania leo itakua nyumbanikuikaribisha klabu ya Dinamo Zagreb kutoka nchini Croatia, Mchezo huu unatarajiwa kua mkali na wenye ushindani kwanivilabu vyote vina ubora mkubwa.
Mchezo mwingine mkali ambao unatarajiwa kupigwa leokwenye michuano ya Uefa Conference League hatua ya 32 bora, Ambapo klabu ya Maccabi Haifa kutoka nchini Israel itawakaribisha klabu ya KA Gent kutoka nchini Ubelgiji.
Klabu ya Olympiacos ya nchini Ugiriki nao watakua nyumbanileo kuikaribisha klabu ya Ferencvaros kutoka nchini Hungury, Mchezo huu utakua moja ya michezo mikali katika ambayoitamuwezesha mteja wa Meridianbet kupiga mkwanja leo.
Suka mkeka wako kwenye mechi hizi za UEFA, kwani ODDS KUBWA, Machaguo zaidi za 1000 yapo huku lakini vile vileTurbo Cash pia ipo. Unasubiri nini sasa? Ingia meridianbet naubashiri sasa.
Leave a comment