Friday , 26 April 2024
Home Gazeti Makala & Uchambuzi Jeshi la Kenya lakamata Warundi wanaotamani ugaidi  
Makala & Uchambuzi

Jeshi la Kenya lakamata Warundi wanaotamani ugaidi  

Spread the love

JESHI la polisi nchini Kenya limewakamata watu wanne  raia wa Burundi  waliokuwa wakielekea Somalia kujiunga na kundi la kighaidi la Al-Shabab, anaandika Catherine Kayombo.

Kwa mujibu wa taarifa ya msemaji wa jeshi, George Kinoti washukiwa hao waliokuwa wakifuatiliwa na maofisa wa kijasusi, walikamatwa katika kizuizi cha polisi mjini Isiolo kaskazini mwa mji mkuu wa Nairobi wakielekea mji wa mpakani wa Mandera.

Washukiwa hao wanadaiwa kuingia nchini Kenya kama watalii kupitia visa huru ya ushirikiano kati ya Burundi na Kenya.

Aidha, ubalozi wa Burundi mjini Nairobi utatoa taarifa kamili kuhusu watuhumiwa hao waliokamatwa baada ya kushauriana na mamlaka kuu ya Kenya.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

BiasharaMakala & Uchambuzi

Kanda ya Ziwa yaonyesha NMB inavyosaidia afya ya mama na mtoto

Spread the loveMafanikio inayozidi kupata Tanzania katika kupunguza vifo vya mama na...

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

‘Mwanapekee’ wa Rais Samia: Atabadili nini Arusha?

Spread the loveMAPEMA wiki hii, baadhi ya viongozi walioapishwa na Rais Samia...

Habari MchanganyikoMakala & Uchambuzi

Kipunguni waihoji serikali, ziko wapi fedha za fidia?

Spread the loveWATU wanaodai kwamba serikali ya Chama Cha Mapinduzi ni sikivu,...

Habari za SiasaMakala & UchambuziTangulizi

Askofu Bagonza: Tusichonganishwe; tusichokozane na tusikufuru

Spread the loveJOTO la chaguzi linapanda kila siku hapa nchini. Upo umuhimu...

error: Content is protected !!