DAKTARI Krisna Singh kutoka North Lanarkhire mwenye umri wa miaka 72 , amepatikama na hatia ya makosa ya unyanyasaji wa kingono dhidi ya wanawake kwa zaidi ya miaka 35. Anaripoti Rhoda Kanuti kwa msaada wa mashirika ya kimataifa … (endelea).
Krishna Singh alipatikana na hatia ya kuwabusu ,kuwapapasapapasa ,na kuwafanyia uchunguzi usiofaa nakutoa maoni ya uzembe kwa wagonjwa 48, katika mazingira mbalimbali ya matibabu.
Hata hivyo wagonjwa hao nipamoja na mwathiriwa wa ubakaji ,wasichana na wanawake wajawazito.
Singh alipatikana na hatia hiyo ya unyanyasaji wa kingono na vitendo vya aibu ambavyo alivifanya Febuari mwaka 1983 mpaka Mei mwaka 2018 .
Aidha Singh hakuthibitishwa kukosa katika mashtaka mengine tisa ,na kukutwa bila hatia kwa mashitaka mengine mawili.
Leave a comment